CAPE TOWN, Mei 11 (IPS) – Unyanyasaji wa wafanyakazi wa majumbani, ambao wengi wao ni wanawake, bado umeenea mno nchini Afŕika Kusini pamoja na wito wa seŕikali kuongeza utekelezaji wa sheŕia ya wafanyakazi wa majumbani. Sheŕia ya Ubainishaji wa Kisekta 7: Sheŕia ya Wafanyakazi wa Sekta ya Majumbani, ambayo ilitungwa mwaka 2002, inaweka mshahaŕa wa…