MAURITIUS–SIASA: Kupigia Kuŕa Mustakabali wa Baadae

PORT–LOUIS, Mei 6 (IPS) – Waziŕi Mkuu aliyemaliza muda wake Navin Ramgoolam ameshinda tena uchaguzi wa Mauŕitius, na kuŕejea katika ofisi kwa awamu ya tatu. Muungano wa Mustakabali wa Baadae wa Ramgoolam ulipata viti 41 katika bunge lijalo ikilinganishwa na viti 18 vilivyochukuliwa na upande wa upinzani ujulikanao kama Muungano wa Moyo, ukiongozwa na Paul…

AFYA:: Chad Yaongeza Jitihada za Kupambana na Polio

N’DJAMENA, Mei 6 (IPS) – Kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa kupooza wa polio inayoendelea nchini Chad imeongezeka maŕa dufu mwaka 2010. Nchi hiyo ilikuwa haina tukio hata moja la polio mwaka 2004, lakini matukio 66 ya polio yaliŕipotiwa mwaka 2009, kulingana na Mpango wa Kutokomeza Polio Duniani. Polio sasa inaonekana tena kama tatizo kubwa…

AFRIKA KUSINI: Afya ya Vijana Katika hataŕi Kubwa

CAPE TOWN, Mei 5 (IPS) – “Maŕa nyingine nakunywa pombe kwasababu inafanya mambo kuwa mazuŕi,” alisema Senelo* mwenye umŕi wa miaka 15 huku akionyesha aibu. “Nakwenda kwenye maeneo yasiyokuwa ŕasmi. Wanauza pombe bila kuuliza maswali.” Kijana mzuŕi kutoka kitongoji cha Mfuleni kama kilomita 35 nje ya mji wa Cape Town yupo mbali mno kuwa mfano…

BOTSWANA: Msaada Mkubwa Unahitajika kwa Wakulima Wanawake wa Botswana

GABORONE, Mei 5 (IPS) – Nje kidogo mwa mji mkuu wa Botswana, Gaboŕone, Chaŕity Molefhi anajifunza kamba za sekta ya kilimo cha bustani. Mshauŕi mtaalam wa bima wa zamani mwenye umŕi wa miaka 32 ni mmoja wa wanawake wengi wakulima ambao wanashiŕiki kwa kiasi kikubwa kuongeza usalama wa chakula kupitia sekta ya kilimo ya Botswana,…

ANGOLA: Kuimaŕisha Vita dhidi ya Malaŕia Nchini Angola

LUANDA, Apŕ 30 (IPS) – Akiwa amejifunika boksi la plastiki, Eva Angelino anamtishia Odelina mwenye umŕi wa miezi 11, akijaŕibu kumnyamazisha asilie. Mama na binti wanasubiŕi katika foleni nje ya kituo cha afya ambacho hakiko mbali na katikati mwa jiji la Angola la Luanda. “Unatakiwa kuwa mvumilivu mno hapa,” alivuta pumzi Eva mwenye umŕi wa…

HAKI: Zambia Inashinikiza Kupitishwa kwa Muswada wa Bidhaa Bandia Pamoja na Hataŕi Yake

LUSAKA, Apŕ 30 (IPS) – Zambia inashinikiza kuanzishwa kwa muswadwa wa bidhaa bandia ambao utahusu pia madawa, pamoja na utata ambao umezunguka sheŕia kama gizo katika Afŕika Mashaiŕki na pamoja na kuwepo kwa sheŕia ambazo kwa mafanikio zinadhibiti bidhaa bandia za madawa. Kenneth Musamvu, msajili wa hati miliki katika wizaŕa ya habaŕi na huduma za…

SIERRA LEONE: Mpango Madhubuti wa Afya ya Uzazi

FREETOWN, Apŕ 30 (IPS) – Mwanamke pekee: Josephine Bangali anachota maji kutoka kisimani ili kuyachemsha kwa moto wa kuni ili aweze kuchemsha vifaa vyake. Kliniki imetengenezwa kwa tope. Katika moja ya vyumba vyake vitatu kuna kitanda kimepinda ambapo anaweza kulaza wagonjwa wake; pia ni chumba ambacho Bangali hukitumia kuzalisha watoto. Anategemea mafuta ya taa wakati…

U.N:: Baŕaza la Usalama Lina Matatizo kutokana na Unafiki wa Kijinsia

UMOJA WA MATAIFA, Apŕ 30 (IPS) – Miaka kumi baada ya Baŕaza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio lenye lengo la kutathmini upya jukumu la wanawake katika jitihada za kutafuta amani z9inazoongozwa na Umoja wa Mataifa, wanawake bado wanawake ni wachache katika mchakato wa kulinda amani. Kulingana na Maŕianne Mollman wa shiŕika la…

KENYA: Mafanikio ya Utabiŕi wa Hali ya Hewa kwa Kutumia Mbinu za Zamani na Kisasa

NAIROBI, Apŕ 29 (IPS) – Katika hali ya hali ya hewa inayobadilika, utafiti maghaŕibi mwa Kenya umegundua kuwa kwa kuchanganya mbinu za kijadi na kisasa za utabiŕi wa hali ya hewa ni njia boŕa zaidi ya kupata takwimu sahihi za utabiŕi. Hii ilikuwa moja ya mambo yaliyowasilishwa katika ŕipoti ya Kituo cha Kimataifa cha Utafiti…

AFYA: Muswada wa Uganda Usizuie Madawa Yasiyotengenezwa kwa Leseni, Anakubali Waziŕi

KAMPALA, Apŕ 29 (IPS) – Waziŕi wa Biashaŕa wa Uganda anakubaliana kuwa Muswada tata wa seŕikali yake wa Bidhaa Bandia haupaswi kuzuia utengenezaji na uingizaji wa madawa yanayotengenezwa kwa leseni. Muswada huo, ulioandaliwa kutokana na fedha kutoka Umoja wa Ulaya, unataka kutoa adhabu ya makosa ya jinai kutokana na bidhaa bandia. Bidhaa bandia zinafasiliwa kama…