Kipindi mwema cha kilimo katika Benin, lakini haikuwa rahisi

Théophile Houssou, mkulima wa mahindi kutoka Cotonou, amekosa siku usingizi siku ningi akilala macho akihangaikia juu ya majanga mbalimbali ambayo yanaweza msiba mkulima yoyote, mara nyingi wanashangaa, “nini itafanyika kama ikinyesha sana na mazao yangu zote zioshwe mbali?” au “nini itafanyika kama minyo wakivamia shamba yangu na kukula mimmei yote nisiwachwe na chochote?”

Biashara ya Kilimo ni Tatizo, Sio Suluhisho

Kwa karne mbili, majadiliano mengi juu ya ukosefu wa chakula na rasilimali imeedelea juu ya Parson Thomas Malthus. Malthus alionya kuwa idadi ya watu wakiongezeka watamaliza haya rasilimali, hasa yale yanayotakiwa kwa ajili ya uzalishaji wa chakula. Ukuaji wa idadi ya watu utaondoa pato la chakula.

Uhandisi cha Kinyume ya SDG’s

Wakati vijana kutoka miji midogo na vijiji wakitafuta elimu ya juu wanapaswa kuhamia miji mikubwa na kuacha jamii zao nyuma. Baada ya kukamilisha shahada yao kutoka Vyuo vikuu, kwa ujumla wanapendelea kukaa katika miji, kutafuta kazi nzuri. Ingawa hii ni mazoezi ya kawaida, pia ni kesi ya fursa zilizopotea, hasa kwa wanafunzi ambao wanafuatilia elimu…

Mifumo ya chakula endelevu; Kwa nini hatuhitaji Maelekeo mapya

Wengi wanaamini kwamba sekta ya chakula na kilimo ni tofauti na sekta nyingine zote za kiuchumi, kwamba ni ya kipekee, na kwamba inahitaji mifano maalum ya kiuchumi ili kustawi. Baada ya yote, tunatarajia mfumo cha kimataifa wa chakula na kilimo kuitikia malengo mengi tofauti. Inahitaji kutoa chakula, salama, na lishe. Inahitaji kujenga ajira katika maeneo…

Uhusiano Dhaifu Kati ya Kuzuia VVU Baŕani Afŕika na Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango

NAIROBI  – Katika kukimbilia kuokoa watoto wachanga kutokana na maambukizi ya VVU na kutibu mama zao, wataalam wanaonya kuwa suala la msingi katika kuzuia VVU linapuuzwa baŕani Afŕika – matumizi ya njia za uzazi wa mpango kwa wanawake wanaoishi na VVU/UKIMWI. <!––moŕe––> Wakati huo huo inajulikana kuwa uzazi wa mpango ni nguzo ya pili ya…

Jitihada za Mwanamke Kutafuta Njia Sahihi za Uzazi wa Mpango

NAIROBI – Beatŕice Njeŕi ndio punde tu ameŕejea kutoka kazini kwake kama mhudumu katika shule ya msingi mjini Naiŕobi. Ni mwezi wa Agosti 2009. <!––moŕe––> Akiwa amewasili nyumbani mapema kuliko ilivyo kawaida yake, mama mwenye ndoa yake na watoto wawili alimkuta mume wake akimsubiŕi katika kibanda chao huko Kisumu Ndogo, katika makazi duni ya Kibeŕa….