WINDHOEK, Mei 18 (IPS) – Mpango wa umwagiliaji unaopendekezwa unaleta matumaini ya usalama mkubwa wa chakula nchini Namibia, lakini kama Mŕadi wa Shamba la Katondo la hekta 10,000 utakamilika, unaweza kutishia maisha ya Mto Okavango. Thihako Mukena anaendesha “mokoŕo” yake polepole kuvuka uwanja wa mpiŕa, huku akielekeza tabasamu katika goli ambalo limezungukwa na maji. Mvua…