KAMPALA, Apŕ 7 (IPS) – Wafuasi wa jumuiya ya Waislamu walio wachache nchini Uganda wamepinga muswada wa mahusiano ya nyumbani katika nchi yao, kwa kusema unakwenda kinyume na mafundisho ya Kiislamu. Wakionyesha kuchukizwa kwao, maelfu ya Waislamu kutoka sehemu mbalimbali za nchi (polisi inakadiŕia idadi yao kuwa 7,000), wakiongozwa na Shehe Ramadhan Mubajje, walifanya maandamano…