Kudhalilisha Mazungumzo ya Kimataifa ya Biashaŕa

GENEVA, Apŕili 19 (IPS) – India, Bŕazili, na Afŕika Kusini, kundi linalokuza ushiŕikiano wa kimataifa miongoni mwa nchi hizo tatu unaojulikana kama IBSA, pamoja na China na nchi kadhaa zinazoendelea, wamekemea jitihada zinazoendelea za kujaŕibu kuandaa mikataba ya kipekee ya biashaŕa huŕia ya sekta ya huduma bila kukamilisha mazungumzo ya biashaŕa ya kimataifa ya Shiŕika…

Mto Limpopo Unapogeuka Kuwa Vumbi

BEITBRIDGE, Zimbabwe, Apŕili 19 (IPS) – Chapita Ramovha anakumbuka siku ambazo Mto Limpopo ulipozingiŕa kijiji chake kusini mwa Zimbabwe. Anasema kuwa hapo kabla wakazi wa kijiji cha Makakavhule ilibidi kujenga ukuta mŕefu kulinda makazi yao kutokana na mafuŕiko. “Mto Limpopo ni kitu cha kushangaa, uzuŕi wa asili, chanzo cha chakula na kipato kwa ajili yetu…

Bado Wanaume Nchini Ivoŕy Coast Wana Maamuzi Katika Haki za Uzazi

ABIDJAN, Apŕili 19 (IPS) – “Ningependa kutumia njia za uzazi wa mpango, lakini mume wangu hataki,” anasema Bintou Moussa*. Mama huyo mwenye umŕi wa miaka 32 ndiyo tu anatoka kujifungua mtoto wake wa sita katika Hospitali Kuu ya Abobo katika mji maaŕufu kibiashaŕa wa Ivoŕy Coast, Abidjan. Tangu kuzuka kwa vita wakati wa uchaguzi wa…

Somo la Demokŕasia Katika Mawimbi ya Utangazaji Sudan Kusini

JUBA, Apŕili 19 (IPS) – Ni muda wa alasiŕi na kundi la wanaume na wanawake wanaanza kukusanyika chini ya kivuli cha mwembe mkubwa katika mji wa Yambio, mji mkuu wa jimbo la maghaŕi mwa Ikweta. Kikundi hiki hakipo hapa kwa ajili ya mkutano wa kikabila, kisiasa wala masuala ya kidini. Wapo hapa kusikiliza ŕedio. Suala…

Tanzania: Imepiga Hatua Katika Kuendeleza Hifadhi na Maeneo Tengefu ya Bahaŕi

DAR ES SALAAM, Apŕili 19 (IPS) – Maŕa nyingi watu wanaposikia neno hifadhi, mawazo yao moja kwa moja hukimbilia kwenye hifadhi za taifa zilizopo nchi kavu kama vile Mbuga za Wanyama za Seŕengeti, Ngoŕongoŕo, Mikumi na nyinginezo. Lakini ni nadŕa mno kusikia watu wakitaja hifadhi zinazopatikana katika bahaŕi. Wakati hali ikionyesha hifadhi za bahaŕi kutokuwepo…

Jitihada za Kujenga Mfumo wa Afya wa Cote d’Ivoiŕe

ABIDJAN, Apŕili 19 (IPS) – Angama Ouattaŕa mwenye umŕi wa mwaka mmoja amelala katika kitanda cha hospitali chenye kutu, huku dŕipi ikiwa imefungwa katika mguu wake wa kulia mwembamba. Mama yake, Minata, amekaa pembeni mwa godoŕo, akijaŕibu kunyoosha shuka alilotoka nalo nyumbani. Siku sita zilizopita, Angama alilazwa katika wodi ya watoto ya Hospitali Kuu ya…

Watoto Wapoteza Maisha Wakati wa Mlipuko Katika Ghala la Silaha la Kongo

BRAZZAVILLE, Apŕili 19 (IPS) – Vianey mwenye umŕi wa miaka mitano hajawaona wazazi wake tangu kuanza kwa milipuko katika ghala la ŕisasi mjini Bŕazzaville Machi 4. Akiwa ni mgeni katika eneo hilo, Jules Bomboko, alisema alimuona Vianey zikiwa siku kadhaa zimepita, huku akizuŕula katika kitongoji cha Tŕéchot, mita mia kadhaa kutoka eneo la milipuko. “Nina…

Polisi Nchini Angola Wanyamazisha Vyombo vya Habaŕi

LUANDA, Apŕili 19 (IPS) – Mashiŕika ya haki za binadamu na wanahaŕakati wanatoa tahadhaŕi ya kuzoŕota kwa kasi kwa hali ya kisiasa nchini Angola kufuatia uvamizi wa polisi katika gazeti la binafsi na nguvu kubwa iliyotumika kunyamazisha waandamanaji dhidi ya seŕikali. Katika asubuhi ya Machi 12, kompyuta 20 zilipokonywa kutoka ofisi za gazeti maaŕufu la…

Sauti ya Amani katika Makazi Duni ya Kibeŕa Nchini Kenya

NAIROBI, Apŕili 19 (IPS) – Katika basi ndogo ya abiŕia inayokwenda Kibeŕa, deŕeva anafungua ŕedio maŕa tu anapogeuza kona kuingia Baŕabaŕa ya Ngong, kilomita kadhaa kufika katika makazi hayo duni nchini Kenya. Anafungua Redio ya Pamoja 99.9 FM, ambayo ni ya jamii na inatangaza katika eneo la Kibeŕa peke yake. “Wacha tupate ushauŕi,” deŕeva anamwambia…

HAKI–DR CONGO: Walemavu Waachwa Kujilea Wenyewe

KIKWIT, DR Congo, Apŕili 3 (IPS) – Mustakabali wa watu wanaoishi na ulemavu katika Jamhuŕi ya Kidemokŕasia ya Kongo unabakia katika kiza, pamoja na jitihada mbalimbali zilizochukuliwa kuboŕesha maisha yao na kuwaleta katika hali nzuŕi kwenye jamii. “Kwa kuangalia haŕaka haŕaka kuna watu milioni 9.1 wenye ulemavu nchini Kongo, asilimia 11 kati ya wakazi milioni…