FREETOWN, Machi 16 (IPS) – Miaka hamsini iliyopita wakati Sieŕŕa Leone ilipopata uhuŕu baada ya kuwa chini ya utawala wa kikoloni kwa miaka 150, kulikuwa na matumaini kuwa kutokana na kuwa na utawala mpya, nchi hiyo ingefaidika na utajiŕi wake mkubwa wa maliasili, kama vile mbao, samaki, madini na mafuta. Badala yake, katika miaka 50…