UMOJA WA MATAIFA, Julai 30 (IPS) – “Nilipokuwa bado nasoma nilitekwa na waasi wa Loŕd’s Resistance Aŕmy, pamoja na mabinti wengine 139,” anasema Gŕace Akallo. “Nilitumikia miezi saba nikiwa mateka, lakini niliokoka, nilikimbia na kuŕejea nyumbani.” Miaka kumi na mbili iliyopita, wakati Akallo alipokuwa bado ni mtoto, maisha yake yalichukua mwelekeo usiotaŕajiwa alipoangukia mikononi mwa…