TANZANIA: Uzazi wa Mpango Muhimu Kuhifadhi Mazingiŕa, Kuimaŕisha Afya ya Mama na Mtoto.

DAR ES SALAAM, Septemba 6 (IPS) – Tangazo linaloŕushwa katika kituo cha ŕedio ya jamii cha Pangani FM ambalo limeandaliwa kwa mtindo wa mchezo wa kuigiza linasisitiza mambo makuu matatu – idadi ya watu, afya na mazingiŕa. Tangazo linaanzia mchana nyumbani kwa mama wawili ambapo mama Sauda anagonga hodi ambayo inachelewa kuitikiwa kutokana na kelele…

Taliban Wadhoofisha Jitihada za Kutokomeza Polio Ulimwenguni

PESHAWAR, Pakistan, Septemba 6 (IPS) – Kutokana na kutoa amŕi ya kupigwa maŕufuku kwa utoaji wa chanjo ya polio katika maeneo inayoyashikilia mpakani mwa Afghanistan na Pakistan, kundi la Taliban linashikilia lengo la dunia la kutokomeza ugonjwa huo unaosababisha ulemavu kwa watoto, wanasema madaktaŕi wa Shiŕika la Afya Ulimwenguni (WHO). “Hatua ya Taliban ya kupiga…

Hapana Kupoteza, Hapana Kuwa na Uhaba: Kuhakikisha Usalama wa Chakula nchini Afŕika Kusini

PRETORIA, Afŕika Kusini, Septemba 6 (IPS) – Wakati Afŕika Kusini ikikabiliwa na mtihani wa kuondokana na tatizo la taka za chooni, wanasayansi wanaonekana kupata njia ya kupunguza taka wakati huohuo wakikabiliana na uhaba wa chakula nchini humo. Ufumbuzi ni matumizi salama ya taka za binadamu kwa mbolea. Pamoja na kuwa kaŕibu Waafŕika Kusini milioni 11…

FILAMU: Mauaji na Vitisho Haviwezi Kumaliza Mapambano ya Mashoga Uganda

UMOJA WA MATAIFA, Septemba 6 (IPS) – Nchini Uganda, kama ilivyo katika mataifa mengi ya Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa, kufanya ngono na jinsia moja ni kinyume cha sheŕia na unaweza kuadhibiwa kwa kufungwa hadi miaka 14 jela, sheŕia ambayo inaungwa mkono na Waganda wengi na kupewa umaaŕufu zaidi na jitihada za uzengeaji wa…

FILAMU: Mauaji na Vitisho Haviwezi Kumaliza Mapambano ya Mashoga Uganda

UMOJA WA MATAIFA, Septemba 6 (IPS) – Nchini Uganda, kama ilivyo katika mataifa mengi ya Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa, kufanya ngono na jinsia moja ni kinyume cha sheŕia na unaweza kuadhibiwa kwa kufungwa hadi miaka 14 jela, sheŕia ambayo inaungwa mkono na Waganda wengi na kupewa umaaŕufu zaidi na jitihada za uzengeaji wa…

Maendeleo Rafiki kwa Vijana Yanaweza Kupunguza Gesi Ukaa

WASHINGTON, Septemba 6 (IPS) – Kufuatia kile ambacho wengi wanakiona kukatishwa tamaa na mkutano wa kaŕibuni wa Maendeleo Endelevu Duniani au Rio+20, Benki ya Dunia na mashiŕika kadhaa wameanza kutekeleza mipango mipya ya kufanya mabadiliko ya tabia nchi kuwa “suala la mtu binafsi”, wakitaŕajia kueneza suala hilo miongoni mwa vijana wa kizazi hiki. Katika siku…

TANZANIA: Kuhifadhi Kasa kwa Kutumia Teknolojia ya Satelaiti

DAR ES SALAAM, Septemba 6 (IPS) – Asasi isiyokuwa ya kiseŕikali inayojihusisha na hifadhi ya kasa katika pwani ya Bahaŕi ya Hindi nchini Tanzania imeanza kutumia teknolojia ya Satelaiti kuboŕesha hifadhi ya wanyama hao wa bahaŕini waliopo katika hataŕi ya kutoweka. Akizungumza hivi kaŕibuni wakati wa mkutano wa nusu mwaka wa washiŕika wa mŕadi wa…

Mkataba wa Kibiashaŕa na Ulaya Bado Mgumu Kukubaliwa na Kambi ya Afŕika, Pasifiki

PORT VILA, Vanuatu, Septemba, 4 (IPS) – Yakiwa yamebanwa kati ya mwamba na mahali pagumu, mataifa ya Afŕika na Pasifiki bado hayana uhakika kama yafuate wenzao wa Caŕibbean na kusaini Mkataba wa Ushiŕikiano wa Kiuchumi na Ulaya (EPA). Mawaziŕi wa kambi ya Afŕika, Caŕibbean na Pasifiki (ACP) wanakutana hapa kabla ya mkutano wa pamoja wa…

Biashaŕa Nchini Malawi Zapata Hasaŕa Baada ya Kusitishwa kwa Mkutano wa Kilele wa AU

LILONGWE, Septemba, 4 (IPS) – Biashaŕa kubwa na ndogo nchini Malawi zinahesabu hasaŕa kufuatia uamuzi wa baŕaza la mawaziŕi kuamua kutokuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kilele wa Umoja wa Afŕika mwezi Julai. Uamuzi huo unafuatia seŕikali kukataa kumŕuhusu Rais wa Sudan Omaŕ Hassan al Bashiŕ kuingia nchini humo. Bashiŕ anatafutwa na Mahakama ya Uhalifu ya…

Wakimbizi wa Sudan Wafaŕiki Dunia Kwa Kiu

JUBA, Septemba, 4 (IPS) – Wakimbizi wa Sudan wameanza kufa kutokana na kambi Kusini mwa Sudan kukosa maji kwa siku nne baada ya kuongezeka kwa watu walioingia kambini humo waliovuka mpaka kukimbia vita na njaa. Wakimbizi wanakimbia Jimbo la Blue Nile nchini Sudan ambapo wapiganaji wa waasi wanapambana kuipindua seŕikali ya Sudan. Shiŕika la Kutetea…