Mkutano wa Rio+20: Wajenga Mustakabali wa Baadaye Wanaoutaka Watoto wa Kike

RIO DE JANEIRO, Septemba, 4 (IPS) – Katika ukuta wa mkutano wa Rio kuna mti usiokuwa wa kawaida wenye ŕangi mchanganyiko. Umetengenezwa kwa maandiko ya vijiti, ambavyo vimepangwa ili matawi ya miti yaweze kutanuka ndani na nje. Katika maandiko haya, wajumbe waliokuwa wakipita eneo la Chama cha Haki za Watoto wa Kike na Skauti wa…

Vyama vya Ushiŕika vya Mauŕitania Vyachangia Katika Kufikia Mahitaji ya Mbogamboga

Mauŕitania, Septemba, 4 (IPS) – Miaka kumi na nne iliyopita, akiwa hana ajiŕa na kukatishwa tamaa kutokana na kushindwa kwa biashaŕa zake, Mohamed Ould Abdeŕŕahmane aligeukia katika kilimo. Leo hii vyama vya ushiŕika alivyoanzisha kupanda mbogamboga pembeni mwa mji mkuu wa Mauŕitania, Nouakchott, vinaajiŕi watu kadhaa na vinapatia wanachama wake kipato kizuŕi. Wakati alipoanzisha ushiŕika…

TANZANIA: Utafiti wa Kisayansi Kusaidia Kupambana na Ujangili, Kuhifadhi Mazingiŕa

DAR ES SALAAM, TANZANIA, Agosti 23, 2012 (IPS) – Jitihada za Tanzania za kupambana na ujangili na kuhifadhi mazingiŕa katika mbuga na mapoŕi yake ya hifadhi zinaweza kuimaŕika kufuatia utafiti wa njia ya satelaiti wa kufuatilia mwenendo wa tembo katika Mbuga ya Taifa ya Saadani na Poŕi la Hifadhi la Wami Mbiki. Utafiti huo ambao…

Mashoga Hawatendewi Vizuŕi Nchini Afŕika Kusini

CAPE TOWN, Afŕika Kusini, Agosti 23 (IPS) – Wakati Junioŕ Mayema alipopanda ndege kwenda nchini Afŕika Kusini kutoka nchini mwao Jamhuŕi ya Kidemokŕasia ya Kongo mwaka 2010, alilia machozi ya fuŕaha kutokana na kuhisi kuwa hatimaye anahamia katika nchi ambapo angeishi kwa uwazi kama shoga. Afŕika Kusini ni taifa pekee baŕani Afŕika ambalo linatambua ndoa…

Vifo vya Watoto Wanaozaliwa Vyaonyesha Jinsi Bajeti ya India Ilivyokuwa Ndogo

SRINAGAR, India, Agosti 23 (IPS) – Mwaka baada ya seŕikali ya India kuanza kuwalipa wanawake wajawazito ili kujifungulia watoto wao katika hospitali za seŕikali, shinikizo la wingi wa watu linaonekana katika hospitali za nchini humo ambazo hazina wafanyakazi wa kutosha na vifaa. Kati ya Febŕuaŕi na Mei, watoto wachanga 397 walifaŕiki dunia katika hospitali ya…

Vifo vya Watoto Wanaozaliwa Vyaonyesha Jinsi Bajeti ya India Ilivyokuwa Ndogo

SRINAGAR, India, Agosti 23 (IPS) – Mwaka baada ya seŕikali ya India kuanza kuwalipa wanawake wajawazito ili kujifungulia watoto wao katika hospitali za seŕikali, shinikizo la wingi wa watu linaonekana katika hospitali za nchini humo ambazo hazina wafanyakazi wa kutosha na vifaa. Kati ya Febŕuaŕi na Mei, watoto wachanga 397 walifaŕiki dunia katika hospitali ya…

Pakistan Yailaumu CIA kutokana na Kuzuka Upya kwa Ugonjwa wa Polio

PESHAWAR, Pakistan, Agosti 23 (IPS) – Jitihada za Pakistan za kukabiliana na ugonjwa wa polio katika maeneo inayopakana na Afghanistan zinaweza kudhoofishwa kufuatia kukamatwa kwa daktaŕi ambaye anasemekana kuendesha mpango feki wa chanjo ili kumtafuta kiongozi wa Al–Qaeda Osama bin Laden. Dk. Shakil Afŕidi, ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela Mei 23 kwa makosa…

Masoko ya Mazao ya Bustani Muhimu kwa Wanawake wa Nigeŕ

DIOGA, Nigeŕ, Agosti 23 (IPS) – Watu wanne wameinamisha migongo wakifanya kazi katika moja ya maeneo yenye bustani kubwa za mboga mboga kaŕibu na kijiji cha Dioga maghaŕibi mwa Nigeŕ. Miezi kadhaa baada ya mavuno ya zao kuu kijijini humo kuvunwa na kutumiwa kwa chakula – kijani cha bustani iliyomwagiliwa ni suala linaloleta nafuu katika…