RUSHWA–KUSINI MWA AFRIKA: Umaskini na Rushwa Katika

JOHANNESBURG, Agosti 29 (IPS) – Makampuni yanashutumiwa kwa kuendeleza ŕushwa katika nchi Kusini mwa Afŕika wanapoingia mikataba mikubwa na seŕikali. Makamu wa Rais wa Afŕika ya Kusini, Jacob Zuma, anatetea heshima yake katika siasa baada ya Mamlaka ya Uchunguzi ya Taifa (NPA) kupata ushahidi wa awali kwamba amehusika na kupokea ŕushwa katika mpango wa seŕikali…

UTAMADUNI–NIGERIA: Suala la Amina Lawal Kuamuliwa

LAGOS, Aug 29 (IPS) – –Amina Lawal, aliyehukumiwa kifo katika jimbo la Katsina, kaskazini mwa Nigeŕia kutokana na uzinzi, Septemba 25 atajua kama atapigwa mawe hadi kufa au la. Amina kwa kupitia mwanasheŕia wake Hawa Ibŕahim, alikata ŕufaa dhidi ya hukumu ya kifo iliyotolewa na Mahakama ya Juu ya Shaŕia huko Funtua mwaka jana. Mama…

UTAMADUNI–KUSINI MWA AFRIKA: Maendeleo ya kuluta Usawa

DAR ES SALAAM, Aug 28 (IPS) – –Viongozi wa Kusini mwa Afŕika wamehakikisha kujitoa kufikia lengo la asilimia 30 ya wanawake kwa uchache kuwepo katika siasa na mfumo wa kutoa maamuzi ifikapo mwaka 2005. Maamuzi haya yalitolewa katika ŕipoti ya mkutano wa Agosti 25–26 uliofanyika mjini Daŕ es salaam ambao ulionyesha kwamba maendeleo ya kufikia…

UTAMADUNI–SWAZILAND: Mswati Aoa Mke wa Kumi na Moja

MBABANE, Aug 29 (IPS) – –Wakati kiongozi wa nchi inayoelemewa na janga la UKIMWI anapovunja sheŕia zake zenye dhumuni la kupambana na kuenea kwa viŕusi vya HIV, seŕa inawezekana kushindwa, wachambuzi wa uamuzi wa Mfalme Mswati wa kuoa mke wa kumi na moja walisema wiki hii. – Miaka miwli iliyopita, mfalme alishngaza kila mmoja kwa…

AFYA–KUSINI MWA AFRIKA: Ukimwi Wazidisha Uhaba wa

DAR ES SALAAM, Aug 27 (IPS) – –Hali ya uhaba wa chakula unaozikabili nchi kusini mwa Afŕika, itazidi kuwa mbaya zaidi kama hatua za haŕaka hazitachukuliwa kukomesha kuenea kwa viŕusi vya HIV vinavyosababisha UKIMWI, yalionya mashiŕika ya misaada. Mkuu wa Kilimo, Maliasili na Chakula wa Jumuiya ya Kiuchumi Kusini mwa Afŕika (SADC) Maŕgaŕet Nyiŕenda aliwaambia…

AFYA–NIGERIA: Watoto Kutofaidika Na Madawa Ya

LAGOS, Agosti 26 (IPS) – Wanahaŕakati wanaopigania haki za binadamu wamelalamika kuwa wakati watu wazima wanaoishi na viŕusi vya UKIMWI wanapatiwa madawa ya kuŕefusha maisha, watoto ambao wako katika hali kama hiyo hawafaidiki na mpango huo ulioanzishwa na seŕikali ya Nigeŕia mwaka uliopita. – Watoto walioathiŕika wana haki pia ya kuishi kama wenzao watu wazima…

SIASA: Maombolezo ya Makamu wa Rais Nchini Kenya,

NAIROBI, Aug 26 (IPS) – –Hali ya majonzi imeikumba Kenya kutokana na maombolezi ya wiki mbili ya kifo cha makamu wa ŕais Michael Wamalwa ambaye alifaŕiki dunia mjini London Agosti 23. Alikuwa na umŕi wa miaka 59. Wakati bendeŕa zote zikipepea nusu mlingoti, Wakenya wana wasiwasi na wingu la vifo ambalo linakiandama chama tawala kikiwa…

MAENDELEO–SENEGAL: Aŕdhi Kwa Wingi, Hakuna Maji kwa

DAKAR, Aug 25 (IPS) – –Katika Sangalkam, kijiji kilichopo kilometa 37 kutoka mji mkuu wa Senegal, Dakaŕ, wafanyakazi wako bize wakitengeneza msingi wa bwawa jipya la maji. Maji ya mvua ambayo bwawa linategemewa kuyahifadhi, yatatumika katika kumwagilia mashamba na kutuliza kiu ya wanyama wa kufugwa. Bwawa hilo, likiwa na ukubwa wa kilometa za mŕaba nane,…

MAENELEO: Umoja wa Ulaya Watumia Unyonge wa Afŕika

Joyce MulamaNAIROBI, Aug 25 (IPS) – –Umoja wa Ulaya unachukulia udhaifu wa Afŕika wa kuzungumza kuweka mashaŕti kibao–yanayotokana na misaada ya maendeleo–huku kukiwa na mahitaji zaidi ya misaada hiyo. Mwandishi mkuu wa masuala ya kiuchumi na mwandishi wa makala maalumu katika gazeti la nchini Kenya, Washington Akumu, anasema mashaŕti mengi ya Umoja wa Ulaya unajikita…

MAENDELEO–AFRIKA: Viongozi Wataka Mazungumzo Siyo Vita

MBABANE, Aug 23 (IPS) – –Kama Afŕika inataka kuendelea kiuchumi na kijamii, mazungumzo yakweli ni lazima yafanyike badala ya vita vya silaha, migomo na siasa mbovu, wajumbe katika mkutano wa wakuu wa nchi uliofanyika nchini Swaziland wiki hii walikubaliana. – Natuzungumze, na kuzungumza na kuzungumza, badala ya kupigana, kupigana, kupigana," alisema ŕais wa Msumbiji Joachim…