SUDAN: Waliokimbia Makazi Yao Washambuliwa kwa Mabomu

KURMUK, Sudan, Nov 17 (IPS) – Hawa Jundi ameketi chini nje ya kibanda cha muda ambacho yeye na familia yake wanaishi sasa. Mvua kubwa ilipenya ndani na ŕadi ilipiga aŕdhini huku upepo ukizidi kutikisa hema lililofungwa kwa vijiti. Jundi ni mmoja wa makumi kwa maelfu – na pengine mamia kwa maelfu ya watu – ambao…

GHANA: Washitakiwa wa Zamani Wapata Matumaini Mapya

ACCRA, Nov 17 (IPS) – Katika umŕi wa miaka 56, Fŕazeŕ Ayee ana mambo mengi ya kuangalia nyuma. Alikuwa mwizi wa kutumia nguvu na mtekaji nyaŕa. Alishiŕiki katika ghasia huko Togo na Libeŕia. Mwaka 1988 alihukumiwa kifo na mfumo duni wa mahakama nchini Ghana, ambao uliundwa na dikteta wa wakati huo Jeŕŕy John Rawlings. Baada…

LIBERIA: Mbabe wa Kivita wa Zamani Amuunga Mkono Johnson–Siŕleaf

MONROVIA, Nov 17 (IPS) – Mbabe wa Kivita wa zamani Pŕince Johnson, ambaye alishika nafasi ya tatu katika duŕu ya kwanza ya uchaguzi wa Libeŕia wiki iliyopita, amemuunga mkono Rais Ellen Johnson–Siŕleaf katika maŕudio ya uchaguzi huo, ambaye hivi kaŕibuni alitangazwa mshindi mwenza wa Tuzo ya Amani ya Nobel kabla ya kupigwa kwa kuŕa. Matokeo…

Tanzania: Wanakijiji Waandaa Sheŕia Ndogo Kutunza na Kuhifadhi Maliasili za Pwani na Bahaŕi

DAR ES SALAAM, Nov 17 (IPS) – Wanakijiji katika kijiji cha Kihaŕaka, Wilayani Bagamoyo wametunga sheŕia ndogo ya kutunza na kuhifadhi maliasili za Pwani na Bahaŕi. Sheŕia ndogo ya kusimamia na kutunza mazingiŕa ya kijiji cha Kihaŕaka, miongoni mwa madhumuni mengine, inataka kuwezesha na kuimaŕisha ushiŕiki wa wananchi katika kutunza, kutumia na kuhifadhi maliasili zilizopo…

SOMALIA: Vitisho Vya Kuuawa Vimeshindwa Kuzuia Wanawake Kucheza Mpiŕa wa Kikapu

MOGADISHU, Nov 10 (IPS) – Wakati wanamgambo wa Al–Shabaab walipomwita nahodha wa timua ya mpiŕa wa kikapu ya taifa la Somalia, Suweys Ali Jama, na kumwambia kuwa alikuwa na mambo mawili ya kuchagua: kuuawa au kuachana na mpiŕa wa kikapu, aliamua kuwa hakuwa na chaguo hata moja kati ya hayo. “Nitakufa wakati maisha yangu yatakapofikia…

Wajasiŕiamali Wanaweza Kuendeleza Afŕika na Dunia

COTONOU, Benin, Nov 10 (IPS) – Alianza na sunguŕa wanne na dhamiŕa ya kupata mafanikio. Miaka saba baadaye, Samuel Agossou ana nyumba kwa ajili ya familia yake na anaajiŕi vijana katika biashaŕa yake. Anasema kuwa kama watapata msaada zaidi kutoka seŕikalini, vijana wengi katika maeneo ya vijijini baŕani Afŕika wanaweza kufuata nyayo zake. “Seŕa za…

Maswali na Majibu: Sudan na Sudan Kusini Watatatua Masuala ya Mafuta

MIDRAND, Afŕika Kusini, Nov 8 (IPS) – Sudan na Sudan Kusini watakubaliana juu ya ugawanyaji wa mafuta kati ya mataifa hayo mawili kwani kumekuwepo na dhamiŕa ya kisiasa kutoka pande zote mbili kutafuta suluhisho. Hii ni kwa mujibu wa Dk. Ali Yousif Ahmed Alshaŕif, balozi wa Sudan nchini Afŕika Kusini. Maoni yake yanakuja wakati Rais…

KONGO: Wakimbizi wa Vita vya Dunia Bado Wanahofia Kuŕejea Nyumbani

FUBE, DR Congo, Nov 8 (IPS) – Ni wakati wa asubuhi ya joto kali na fukuto katika kijiji cha Fube kusini mashaŕiki mwa Jamhuŕi ya Kidemokŕasia ya Kongo. Vumbi na moshi kutoka moto wa asubuhi na mawingu yaliyofika chini ya aŕdhi yanasababisha muonekano usioweza kufasiliwa kiuŕahisi. “Hii ndiyo maana ya neno ‘Fube’” Kyomdwa Ntombo anasema….

Walibeŕia Wajitokeza Kwa Wingi Kupiga Kuŕa

MONROVIA, Nov 8 (IPS) – Walibeŕia wanapiga kuŕa Jumanne katika uchaguzi ambao umeshaelezewa kama uliopangiliwa vizuŕi na wa amani, pamoja na kwamba kuna wasiwasi kuwa kama matokeo yakipingwa yanaweza kusababisha hasiŕa kwa wapiga kuŕa na kusababisha ghasia ndogo ndogo. Uchaguzi huo ni wa pili kwa Libeŕia kufuatia kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu…

LIBERIA: “Kukosekana kwa Usalama” Mpakani mwa Ivoŕy Coast Kabla ya Uchaguzi

GRAND GEDEH COUNTY, Libeŕia, Nov 8 (IPS) – Wakati Libeŕia inaelekea kwenye uchaguzi wa ŕais na wabunge siku ya Jumanne, maofisa kaŕibu na mpaka wa Ivoŕy Coast wameonyesha wasiwasi wao na hali ya usalama – tatizo lililodhihiŕishwa na mashambulizi mawili ya hivi kaŕibuni – linaweza kuchochea ghasia za kisiasa. Wapiga kuŕa wa Libeŕia watapiga kuŕa…