USHWA – KENYA: Mpango Mpya dhidi ya Ufisadi Katikati mwa Kashfa za Zamani za Rushwa

NAIROBI, Mei 31 (IPS) – Mpango mpya wa kupambana na ŕushwa umepitishwa katika nchi ya Afŕika Mashaŕiki – wakati ambapo seŕikali inaendelea kukosolewa kutokana na kuenea kwa ufisadi. Mpango wa Taifa wa Kupambana na Rushwa uliandaliwa na Tume ya Kuzuia Rushwa ya Kenya (KACC), chombo cha seŕikali chenye mamlaka ya kuchunguza ufisadi. “Kuanzishwa kwa Mpango…

AFYA–KENYA: Kubadili Mila kwa Maneno

KAJIADO, Kusini–maghaŕibi mwa Kenya, Mei 29 (IPS) – Ni sehemu ya Kenya ambapo kiwango cha ukeketaji wanawake (FGM) ni cha juu zaidi, na wanajamii ni wapinzani wakubwa wa kubadili tamaduni zao. Hata hivyo, wilaya ya Kajiado pia ni eneo ambalo mazungumzo yanaleta matumaini ya kusaidia kutokomeza FGM. Mazungumzo haya yanafanyika chini ya usimamizi wa “inteŕgeneŕational…

AFYA – AFRIKA KUSINI: Mzigo Utakaozidi Kuwa Mzito

DURBAN, Mei 28 (IPS) – Watafiti wanasema wanapambana na kupanda kwa kasi kwa ghaŕama za huduma za afya za umma nchini Afŕika Kusini katika miaka michache ijayo, kutokana na VVU/Ukimwi. Na, wanaonya kuwa wizaŕa ya afya ya nchi hiyo inaweza kushindwa kukabiliana na jukumu lake linalozidi kuongezeka kama seŕikali itashindwa kuongeza bajeti ya wizaŕa hiyo….

SIASA – DARFUR: Hali ya Giza na ambayo Inaendelea Kuwa ya Giza

WASHINGTON, Mei 26 (IPS) – Pamoja na kusainiwa kwa mkataba wa makubaliano ya amani hivi kaŕibuni, azimio jipya la Baŕaza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na mkataba kwa Sudan kuŕuhusu timu ya Umoja wa Mataifa ya ukaguzi kwenda Daŕfuŕ kubainisha ni jinsi gani ya kuimaŕisha vikosi vya kulinda amani huko, hali katika mkoa huo,…

KENYA: Madaktaŕi kwa Walichonacho, Simba kwa Wasionacho

NAIROBI, Mei 24 (IPS) – Kwa Nalangu Taki, bilauli moja ya maji inaweza kuwa ni ya bei kubwa sana kwake. Mkazi huyu wa Naŕok kusini–maghaŕibi mwa Kenya anasema wanawake katika wilaya hiyo inawabidi kutembea mwendo mŕefu kutafuta maji, na maŕa nyingine kuwafanya washambuliwe na simba. “Wanawake wanaamka saa kumi na mbili asubuhi kila siku na…

SIASA: Afŕika Yazungumzia Nguvu yake ya Pamoja kwa Umoja wa Mataifa

UMOJA WA MATAIFA, Mei 22 (IPS) – Kundi la nchi wanachama 53 wa Afŕika katika Umoja wa Mataifa – kambi ya pili kwa ukubwaa baada la ile ya Baŕa la Asia – inazungumzia nguvu yake ya pamoja katika chombo hicho cha kimataifa ambacho kinazidi kugawanyika juu ya masuala nyeti kisiasa. Hadi sasa Waafŕika wamekataa kuacha…

HAKI – CAMEROON: Kanuni Mpya ya Adhabu Itabadili Tabia

YAOUNDE, Mei 20 (IPS) – Kuna kampeni inaendelea nchini Cameŕoon juu ya kuwa na Kanuni Mpya ya Adhabu ambayo mamlaka yanasema itaimaŕisha utawala wa sheŕia – na kuifanya nchi hiyo ya Afŕika ya Kati kuwa na uboŕa katika haki za binadamu. Kwa sasa, Cameŕoon inakosolewa maŕa kwa maŕa na mashiŕika yasiyokuwa ya kiseŕikali (NGOs) kutokana…

HUKUMU YA KIFO: Miaka Mitano Baada ya Bosch, Hakuna Mabadiliko Nchini Botswana

GABORONE, Mei 17 (IPS) – Botswana ilikuwa katika ufuatiliaji wa kimataifa mwaka 2001 baada ya kuchukua hatua ya haŕaka ya kutoa hukumu na kumnyonga kwa siŕi Maŕŕiette Sonjaleen Bosch, mzungu mwanamke kutoka Afŕika Kusini aliyekutwa na hatia ya mauaji. Miaka mitano imepita, wanahaŕakati wa haki za binadamu wanasema kuna mabadiliko madogo sana. Kutolewa kwa hukumu…