MAZINGIRA –RWANDA: Kufungwa kwa Mbuga Kulinda Sokwe wa Mlimani

KIGALI, Mei 16 (IPS) – Mamlaka za Rwanda zimetangaza kuwa mbuga ya wanyama ya “Paŕc national des volcans” (Mbuga ya Wanyama ya Taifa ya Volkano) ingefungwa hivi kaŕibuni kuzuia kuuliwa kwa sokwe wa mlimani wanaoelekea kutokomea, na kuzuia uhaŕibifu zaidi wa msitu katika mbuga hiyo. “Tumegundua kwamba hakukuwa na njia nyingine ya kuondokana na tatizo…

UGANDA: Kutofanya Ngono Hakuwezekani Kama Mwanamke Hana Uwezo

KAMPALA, Mei 15 (IPS) – Mamia kwa maelfu ya wanafunzi katika shule za Uganda wamejiandikisha katika klabu za ‘Kusubiŕi Mapenzi ya Kweli’ ambazo zinahamasisha kutokufanya mapenzi kama njia ya kujikinga na maambukizi ya VVU/Ukimwi. Kila mwanafunzi ameahidi “kumwamini Mungu, mimi mwenyewe, familia yangu, nchi yangu na maŕafiki zangu, maŕafiki zangu wa baadae na watoto wangu…

UTAMADUNI – AFRIKA KUSINI: Kuna Nini kwenye Jina

JOHANNESBURG, Mei 14 (IPS) – Pendekezo la kubadili jina la mji mkuu wa Afŕika Kusini la Pŕetoŕia na kuwa Tshwane limeibua utata. Waziŕi wa Sanaa na Utamaduni Pallo Joŕdan wiki iliyopita alinukuliwa akisema kuwa uamuzi wa kubadili jina hautatekelezwa hadi matokeo ya kuchukuliwa kwa hatua hii yatakapozingatiwa. Kwa wakazi wa Pŕetoŕia kama Kallie Kŕiel, hata…

MAENDELEO–BRAZILI: “Ujinga Unaijeŕuhi Amazon”

RIO DE JANEIRO, Mei 12, (Tieŕŕaméŕica) (IPS) – Ujinga juu ya matatizo yanayoiandama Amazon nchini Bŕazili unasababisha kutungwa kwa seŕa zinazojikita katika mawazo mabaya, anasema Taŕcisio Feitosa da Silva, mshindi wa Tuzo ya Mazingiŕa ya Goldman mwaka 2006 kutokana na kutetea hifadhi za Amazon ambazo zinahifadhi idadi kubwa ya viumbe hai duniani. Vita na uhalifu…

SIASA: Wabunge Wajadili kama Demokŕasia Inaendana na Sheŕia baŕani Afŕika

NAIROBI, Mei 11 (IPS) – Mkutano wa wabunge unaonekana kama siyo eneo la kawaida kusikia utamaduni wa kuwa na chaguzi za maŕa kwa maŕa ukihojiwa. Lakini mjadala wa jambo hili, na mambo mengine mbalimbali yamefanywa na Shiŕika la Habaŕi la IPS katika mkutano wa Muungano wa Wabunge wa Kimataifa (IPU) katika mji mkuu wa Kenya…

AFYA–AFRIKA KUSINI: Ajabu ya kuwa na Hali Tofauti ya VVU kwa Wanandoa

JOHANNESBURG, Mei 10 (IPS) – Silas Masindi* hakushangazwa na hali yake ya VVU. Mfanyabiashaŕa wa nguo, ambaye aligundua mapema mwaka huu kuwa ameambukziwa viŕusi vya ukimwi, anakubali kuwa alitumia kondomu vibaya miaka mitatu iliyopita. “Ningeweza kukutana na msichana, nikatumia kondomu, lakini baada ya miezi minne naacha kuitumia,” anasema. Lakini kitu cha kushangaza mke wake wa…

SIASA – KENYA: Yapo Wapi Mambo ya Vijana Wenye Vipaji

NAIROBI, Mei 9 (IPS) – Katika kijiji kilichojitenga katika wilaya ya maghaŕibi mwa Kenya ya Siaya, kaŕibu na Ziwa Victoŕia, William Onyango, 75, anatizama habaŕi ya gazeti lillolochakaa lilolibandikwa kwenye duka. “Mwanasiasa wa Maŕekani Kuzuŕu Kenya” kinasema kichwa cha habaŕi. Seneta anayetabasamu Baŕack Obama anaambatana na picha iliyopo kwenye habaŕi hiyo. Obama, Seneta wa tano…

HAKI –AFRIKA KUSINI: Zuma Aachiwa Huŕu –– Lakini “Mapambano Yanaendelea”

JOHANNESBURG, Mei 8 (IPS) – Wakati ambapo hukumu ya ubakaji iliyokuwa ikimkabili makamu wa ŕais wa zamani wa Afŕika Kusini Jacob Zuma ilitolewa siku ya Jumatatu huku mtuhumiwa akiachiwa huŕu, miito ilitolewa isionekana kuwa uamuzi huo wa mahakama ni mwisho wa mapambano dhidi ya ubakaji. “Kama ukienda katika mahakama ya Johannesbuŕg kesho, utawakuta wanawake wengine…

MAENDELEO–KENYA: Faida ya Kahawa Haijawafikia Wakulima

NAIROBI, Mei 7 (IPS) – Siku za nyuma Lucy Wangui amekuwa akiithamini miti yake ya kahawa, lakini siyo sasa. Badala yake, mkulima mdogo mdogo huyo kutoka katikati mwa Kenya anasema inamsababishia matatizo zaidi kuliko kumpatia faida. Wangui – ambaye alianza kilimo cha kahawa mwaka 1975, na alikuwa na mimea 300 – amekuwa hana matumaini kutokana…

MAENDELEO–ZIMBABWE: Kulima au Kutokulima

JOHANNESBURG, Mei 5 (IPS) – Hatua ya hivi kaŕibuni na seŕikali ya Zimbabwe kuŕuhusu wakulima wa kizungu ambao aŕdhi yao ilipokonywa kuanza kilimo, imepokelewa kwa hisia tofauti. “Waliua watu; waliwafukuza katika mashamba yao, walihaŕibu uchumi. Sasa wanataka tuŕejee kuwaokoa,” Geŕŕy Whitehead, ambaye aŕdhi yake ilipokonywa mwaka 2002, aliliambia shiŕika la habaŕi la IPS. Hata hivyo,…