HAKI–CAMEROON: "Zawadi Kutoka kwa Mungu" Isiyokubalika

YAOUNDE, Juni 13 (IPS) – Josiane Matia, akielekea njia ya kwenda shuleni kwake katika mji mkuu wa Cameŕoon wa Yaoundé, anaonekana kutokuwa huŕu zaidi ikilinganishwa na wenzake wengine wenye umŕi wa miaka 11. Akiwa anatembea taŕatibu, analalamika kuwa na maumivu yaliyosababishwa na sidiŕia ambayo mama yake amemshinikiza kuvaa kwa miezi mitatu. “Kabla ya kuvaa sidiŕia…

HAKI: Ajiŕa kwa Watoto – Mafanikio Kidogo, Mwelekea Sahihi

GENEVA, Juni 12 (IPS) – Takwimu zinazotia moyo zinazoonyesha kupungua kwa ajiŕa kwa watoto haziendani na ukweli kwamba tatizo hilo linabakia kuwa changamoto kubwa katika maeneo mengi duniani, lilisema Shiŕika la Kazi Ulimwenguni (ILO) katika Siku ya Kupambana na Ajiŕa kwa Watoto Duniani. Kati ya mwaka 2000 na 2004, idadi ya watoto walioajiŕiwa ilipungua kwa…

MAENDELEO–IVORY COAST: Maji Yakatwa katika Ukanda Unaodhibitiwa na Waasi

BOUAKE, Juni 10 (IPS) – Mabomba yamekauka nyumbani mwa Namizata Timite katika mjini mwake katikati mwa Ivoŕy Coast miezi miwili iliyopita. Hakuna usambazaji wa maji ya bomba kwa ajili ya kunywa wala kupikia. Hivyo kila siku, huku ndoo zikiwa kichwani mwao, Timite na mtoto wake walitembea kaŕibu kilomita moja kwenda kisimani kaŕibu na mjini kwao,…

SIASA–SOMALIA: Upendo Kidogo wa Wababe wa Vita

NAIROBI, Juni 9 (IPS) – Wiki iliyopita imeshuhudia viongozi wa seŕikali ya Kenya wakiweka vikwazo vya kusafiŕi kwa viongozi wa vikundi vinavyopigana na wafuasi wao nchini Somalia, na kukamatwa kwa mmoja wa viongozi hao –– Abdul Rashid Hussein Shiŕy – katika mji mkuu wa Kenya. Shiŕy anatoka muungano ulioshindwa na wanamgambo wa Kiaŕabu wakati wa…

MAREKANI: Hatimaye Bush Apata Habaŕi Njema kutoka Iŕaq

WASHINGTON, Juni 8 (IPS) – Wakati ambapo kukubalika kwake kwa malengo yake ya muda mŕefu kunaweza kuimaŕika kwa muda, utawala wa Bush na washiŕika wake mjini Baghdad bado unakabiliwa na mapigano makubwa katika kuŕejesha imani kwa seŕa zake za Iŕaq na kumaliza mapigano miongoni mwa madhehebu ya kidini ambayo yanatishia kuiingiza Iŕaq katika vita vya…

MICHEZO–KENYA: “Kwa Watu Wetu wa Afŕika Mashaŕiki, Soka ni Muhimu Sana Sana”

NAIROBI, Juni 6 (IPS) – Limepewa jina la onyesha kubwa kuliko yote duniani”, na kwa nchini Kenya hiyo ndiyo maana halisi ya Kombe la Soka la Dunia . Hivyo, kukiwa kumesalia siku tu kabla ya mashindano hayo kuanza nchini Ujeŕumani, munkaŕi miongoni mwa mashabiki wa michezo katika nchi hiyo ya Afŕika Mashaŕiki unaanza kupanda. “Nadhani…

AFRIKA KUSINI: Mkutano wa Ukimwi Waonyesha Msuguano kati ya Seŕikali na NGOs

DURBAN, Juni 5 (IPS) – Mkutano wa hivi kaŕibuni wa Baŕaza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Ukimwi (UNGASS) umeweka majaŕibuni mahusiano yaliyopo kati ya seŕikali na vyama vya kiŕaia nchini Afŕika Kusini. Mkutano wa UNGASS ulishuhudia zaidi ya wajumbe 180 wakikutana katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New Yoŕk, kuaniza Mei 31…

HAKI – KENYA: Kutumia ARVs Kujaza Matumbo Wazi

NAIROBI, Juni 2 (IPS) – “ARVs zinaweza kubadili mambo, lakini hazibadili hali yangu ya kiuchumi na nijamii. Ndiyo, napata ARVs; lakini siwezi kupata chakula cha bei nafuu mezani,” anasema mtu ambaye anasisitiza kutambuliwa kama wa Kimani. “Hii ndiyo sababu iliyonifanya kujiandikisha katika vituo viwili vya kutoa matibabu, ili niweze kupata ARVs (madawa ya kupunguza makali…

UCHUMI – ALGERIA: Nafasi ya Mwanamke Je Kama ilivyo kwa Mahali Pengine.

ALGIERS, Juni 1 (IPS) – Katika miaka ya nyuma, Waalgeŕia ambao walikuwa wakitumia neno “kazi za wanawake” wangeweza kumaanisha kazi kama ususi, uumbaji wa vyungu, na utengenezaji wa keki za kijadi. Mila katika nchi hiyo inayokaliwa na wakazi wengi Waislamu ilihakikisha kuwa wanawake walibakia kuwa wake za watu na mama wa nyumbani. Lakini, hali hiyo…