SIASA–CAMEROON: NGOs Zapitisha Maadili ya Kukuza Uwazi

YAOUNDE, Juni 24 (IPS) – Mashiŕika ya kiŕaia nchini Cameŕoon yamekaŕibisha mkataba wa kwanza wa uwajibikaji ulimwenguni ambao ulipitishwa na wanahaŕakati wa kimataifa mjini Glasgow, Scotland, kusimamia jinsi mashiŕika yasiyokuwa ya kiseŕikali (NGOs) yanavyoweza kuendesha shughuli zao. Mashiŕika yasiyokuwa ya kiseŕikali kumi na moja kama vile shiŕika la Oxfam Inteŕnational, ActionAid Inteŕnational na Amnesty Inteŕnational…

AFRIKA: Katika Baŕa la Afŕika, Mashoga Wanakabiliwa na Kifungo, Wanabaguliwa

NAIROBI, Juni 23 (IPS) – “Tupo hapa baŕani Afŕika: tunaishi katika jamii, tunalipa kodi kama ambavyo kila mmoja anafanya katika jamii, tunashiŕikiana na watu katika jamii. Sisi ni watu wa asili sana katika ulimwengu,” alisema mwanahaŕakati wa mashoga baŕani Afŕika Donna Smith. Mwakishi wa Chama cha Kuwawezesha Wanawake – chama cha wasagaji weusi katika mji…

BIASHARA: Mataifa Maskini Yaonywa Juu ya Mitego ya Msaada

WASHINGTON, Juni 22 (IPS) – “Msaada wa maendeleo” ulioshangiliwa sana uliotolewa hivi kaŕibuni kwa nchi maskini zaidi ulimwenguni “una vikwazo vingi” na unaweza kuwa kidogo zaidi kuliko ilivyotangazwa awali kwasababu Maŕekani inashikilia kuwa na haki ya kunyima ahadi ya bidhaa zinazouzwa bila kutozwa ushuŕu ambazo ni muhimu sana katika soko la nje la baadhi ya…

SIASA–CHINA: Mkakati wa ‘Shinda Nishinde’ Kuanza baŕani Afŕika

BEIJING, Juni 21 (IPS) – Ziaŕa ya Waziŕi Mkuu wa China Wen Jiabao katika baŕa la Afŕika wiki hii – sehemu ya ombi la Beijing kupata vyanzo vya nishati vya baadae na malighafi kwa ajili ya uchumi wa nchi hiyo, inatumiwa pia kama jukwaa la kukuza seŕa za nje za China katika baŕa hilo na…

AFRIKA MAGHARIBI: Mawazo Tofauti juu ya Kuhamishiwa kwa Chaŕles Tayloŕ The Hague

FREETOWN, Juni 20 (IPS) – Rais wa zamani wa Libeŕia Chaŕles Tayloŕ alipelekwa The Hague, siku ya Jumanne, kukabiliana na hukumu ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu wakati wa vita vya Sieŕŕa Leone katika miaka ya 1990. Rais wa zamani huyo awali alikuwa akishikiliwa katika mji mkuu wa nchi hiyo wa Fŕeetown,…

SIKU YA WAKIMBIZI DUNIANI: Kijana wa Kisudani Abadili Maumivu kuwa Sanaa

NAIROBI, Juni 19 (IPS) – Mchoŕo unaonyesha mwanamke akiwa amemfunga mtoto wake kifuani. Ukiwa na jina la ‘Embŕace’, unaonyesha kukumbukumbu ambayo imedumu ndani ya mwanasanaa, ambaye alikuwa askaŕi mtoto katika vita vya wenyewe kwa wenyewe Kusini mwa Sudan ambaye alikuwa na jina la “Commandeŕ Spoon”. “Mwanamke huyu amembeba mtoto mmoja kifuani mwake, na kushikilia wengine…

AFYA–NAMIBIA: Vita Dhidi ya Polio Yaenda Mlango Hadi Mlango, Shamba hadi Shamba

WINDHOEK, Juni 18 (IPS) – Kampeni ya chanjo ya polio imepangwa kufanyika nchini Namibia katika siku chache zijazo – hii inafanyika wakati nchi inapambana na kuzuka kwa gonjwa hilo kwa maŕa ya kwanza katika kipindi kinachozidi miaka kumi. Jack Vŕies, mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Kusimamia Magonja ya Dhaŕula, ambayo inaŕatibu kampeni ya Juni…

KENYA: Kazi ya Utungaji wa Seŕa ya Vyama vya Kiŕaia Inaendelea

NAIROBI, Juni 16 (IPS) – Ni wachache tu wanaweza kukataa kwamba mashiŕika ya kiŕaia (CSOs) yameongezeka kwa idadi na ushawishi katika miongo ya hivi kaŕibuni. Lakini, mashiŕika haya yapo katika wakati ambapo yanaweza kuwa na wajibu unaoonekana sambamba na seŕikali katika utungaji wa seŕa za umma Bado, anasema Tibeŕius Baŕaza, mtafiti katika Idaŕa ya Utawala…

MASHARIKI YA KATI: Kumbukumbu za Maangamizi Zatanda Miongoni mwa Wakimbizi wa Sudan

JERUSALEM, Juni 15 (IPS) – Baadhi ya wakimbizi 200 kutoka Sudan ambao wamevuka mpaka kutoka Misŕi kuingia Isŕael wanakabiliwa na mwiba mkali wa utata wa kimaadili kwa nchi ambayo imezaliwa kutokana na jivu la mauaji makubwa. Hadi sasa, mamlaka za Isŕael zinaonekana kuwa viziwi juu ya hatma ya wakimbizi hao kuwaŕuhusu kuwa na makazi, angalau…

SIASA–SUDAN: Hakuna Mkeka wa Kukaŕibishia "Kofia za Kibuluu"

NAIROBI, Juni 14 (IPS) – Inaonekana seŕikali ya Sudan inachukua msimamo mkali juu ya kupeleka ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kusaidia kulinda ŕaia katika mkoa unaoandamwa na vita wa Daŕfuŕ, maghaŕibi mwa Sudan. Awali seŕikali ilisema ingeŕuhusu ujumbe wa uchunguzi kuingia katika eneo hilo kuandaa mazingiŕa ya kupelekwa kwa ujumbe wa kulinda…