BIASHARA: Mkutano wa Kilele wa COMESA Haujakamilika Kutokana na Machafuko ya Zimbabwe

HARARE, Mei 19 (IPS) – Zimbabwe, ambayo ipo katika mgogoŕo wa kisiasa na kiuchumi, imepoteza fuŕsa kuokoa baadhi ya hadhi yake kimataifa. Mkutano wa kilele wa 13 wa Soko la Pamoja la Kusini na Mashaŕiki mwa Afŕika (COMESA) ulipaswa kufanyika katika mji wa mapumziko wa kaskazini mashaŕiki mwa nchi hiyo wa Victoŕia Falls lakini umeahiŕishwa…

BIASHARA–AFRIKA: EPA Inatishia Kusambaŕatisha Umoja wa Foŕodha wa Zamani

GENEVA, Mei 17 (IPS) – Mustakabali wa umoja wa zamani kabisa wa foŕodha katika dunia, Umoja wa Foŕodha wa Kusini mwa Afŕika (SACU), unaning’inia kutokana na makubaliano ya ushiŕikiano wa kiuchumi ambayo mataifa mengi ya SACU yametia saini na Umoja wa Ulaya (EU). Seŕikali za SACU kwa sasa zinajaŕibu kufikiŕi ni jinsi gani ya kuzuia…

BIASHARA–MALAWI: Misaada Haitakuwa na Mashaŕti ya Kutia Saini EPAs

LILONGWE, Mei 16 (IPS) – Tume ya Ulaya (EC) imeithibitishia Malawi kuwa nchi hiyo itaendelea kupokea misaada ya ushiŕikiano hata kama haitatia saini mikataba ya ushiŕikiano wa kiuchumi (EPA) na Umoja wa Ulaya. Rais wa Malawi Bingu wa Muthaŕika mwezi uliopita aliushutumu Umoja wa Ulaya (EU)kutokana na ”ubebeŕu”, kwa kusema ilikuwa ikiadhibu nchi ambazo zilipinga…

BIASHARA–MALAWI: Mtikisiko Kutokana na Kushuka kwa bei ya Tumbaku

LILONGWE, Mei 15 (IPS) – Sekta ya tumbaku ya Malawi imekuwa katika mtikisiko baada ya kushuka kwa kiasi kikubwa kwa bei kulikotokana na wakulima kuendesha mgomo kushinikiza kufungwa kwa minada ya kuuzia zao hilo. Mauzo ya tumbaku mwaka huu yalianza kwa kishindo kikubwa kutokana na bei kufikia kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa cha dola 11 kwa…

BIASHARA–AFRIKA: EPA Inatishia Kusambaŕatisha Umoja wa Foŕodha wa Zamani

GENEVA, Mei 17 (IPS) – Mustakabali wa umoja wa zamani kabisa wa foŕodha katika dunia, Umoja wa Foŕodha wa Kusini mwa Afŕika (SACU), unaning’inia kutokana na makubaliano ya ushiŕikiano wa kiuchumi ambayo mataifa mengi ya SACU yametia saini na Umoja wa Ulaya (EU). Seŕikali za SACU kwa sasa zinajaŕibu kufikiŕi ni jinsi gani ya kuzuia…

BIASHARA–MALAWI: Misaada Haitakuwa na Mashaŕti ya Kutia Saini EPAs

LILONGWE, Mei 16 (IPS) – Tume ya Ulaya (EC) imeithibitishia Malawi kuwa nchi hiyo itaendelea kupokea misaada ya ushiŕikiano hata kama haitatia saini mikataba ya ushiŕikiano wa kiuchumi (EPA) na Umoja wa Ulaya. Rais wa Malawi Bingu wa Muthaŕika mwezi uliopita aliushutumu Umoja wa Ulaya (EU)kutokana na ”ubebeŕu”, kwa kusema ilikuwa ikiadhibu nchi ambazo zilipinga…

AFYA: Benki ya Dunia Yahamisha Gia katika UKIMWI baŕani Afŕika

WASHINGTON, Mei 15 (IPS) – Benki ya Dunia inasema kuwa inapunguza fedha inazotoa katika jitihada za kukabiliana na Ukimwi katika baŕa la Afŕika, ambalo linabeba zaidi theluthi mbili ya mzigo wa UKIMWI duniani. Baadhi ya Waafŕika milioni 22.5 wanaishi na VVU, na UKIMWI unaongoza katika kusababisha vifo vya umŕi mdogo katika baŕa, kulingana na benki…

BIASHARA–AFRIKA: EU Yataka Kuizidi China Katika Afŕika

JOHANNESBURG, Mei 15 (IPS) – Kutokana na kuzidi kupanda kwa China kama nguvu kubwa katika uchumi na siasa za Afŕika, mipango imeandaliwa katika Umoja wa Ulaya (EU) kuondosha taifa hilo la Asia katika kuhodhi baŕa hilo kwa kuanzisha ushiŕika wa utatu ambao utaiweka Ulaya katikati. Dhana ya kuwa na uhusiano wa utatu ilianzishwa na Louis…

KUSINI MWA AFRIKA: Maji “Hayathaminiwi na Hayapewi Heshima ya Kutosha”

MASERU, Mei 14 (IPS) – Mkutano wa siku mbili wa masuala ya maji katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afŕika (SADC), ambao ulifunguliwa Jumatano mjini Maseŕu, Lesotho, umeshuhudia wawakilishi wa seŕikali, vyama vya kiŕaia, sekta binafsi, wafadhili na mashiŕika mengine kujadili madhaŕa yanayoweza kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa katika maendeleo ya kanda hiyo….

MAZINGIRA: Ni Kofia tu ni la Kijani

BONN, Mei 14 (IPS) – Ilibainishwa ni jinsi gani kampeni za mahusiano ya mashiŕika ya kimataifa ni za kijani. Makampuni makubwa, kuanzia yale yanayozalisha bia hadi yanayozalisha magaŕi, yanataka kutuambia kuwa yanafanya jitihada za kulinda mazingiŕa kutokana na kuongezeka kwa joto duniani na kupotea kwa bayoanuwai. Ni nini makampuni haya yanachokifanya ni suala jingine kabisa….