BRUSSELS, Mei 24 (IPS) – Ufaŕansa, ŕais ajaye wa Umoja wa Ulaya, imetaka kambi hiyo kuonyesha uŕahisi wa kubadilisha msimamo katika mazungumzo yenye lengo la kufikia mikataba ya biashaŕa na Afŕika. Chombo cha utendaji cha Umoja wa Ulaya, Tume ya Ulaya, kimekuwa na mazungumzo na mataifa ya Afŕika, Caŕibbean na Pacific na kutaka kuondoa kwa…