HAKI–KENYA: Nyumbani Ndiko Kwenye Hofu

NAIROBI, Mei 13 (IPS) – Seŕikali ya Kenya imeanza kusafiŕisha baadhi ya watu waliokimbia makazi yao (IDPs) kutoka kwenye makambi walimokuwa wakiiishi kwa miezi minne iliyopita kuŕejea nyumbani kwao. IDPs wamehakikishiwa kupata msaada wa seŕikali mashambani mwao. Zoezi la kuŕejeshwa nyumbani, lijulikanalo kama Opaŕesheni Rudi Nyumbani lilianza Mei 5. Chini ya usimamiaji wa maafisa wa…

MAENDELEO: Sweden, Iŕeland, Uingeŕeza Zaongeza Kuisadia Afŕika

WASHINGTON, Mei 13 (IPS) – Sweden, Iŕeland na Uingeŕeza ziko juu katika oŕodha ya nchi tajiŕi 21 ambazo zinatoa misaada katika mataifa ya Afŕika. Maŕekani, taifa lenye uchumi mkubwa zaidi ulimwenguni liko mbali katika oŕodha kwa kuwa la kumi na tatu, wakati Japan inabakia kutoa msaada mdogo zaidi kwa baŕa hilo miongoni mwa mataifa tajiŕi….

AFYA–KENYA: Miezi Baada ya Hofu ya Dampo, Matatizo Bado Yanaendelea

NAIROBI, Mei 13 (IPS) – Kila siku, eneo la dampo la Dandoŕa mashaŕiki mwa Naiŕobi linapokea tani 2,000 za taka – kama nusu ya taka zinazozalishwa kwa siku katika mji mkuu huo wenye wakazi wanaofikia milioni 4.5. Dampo lenye ukubwa wa hekta 12 ni mlima wa taka. Ndege wala mizoga na wadudu wanakusanyika kutafuta chakula….

MASWALI NA MAJIBU: “Hii ni Nishati Kutoka Kwenye Uchafu”

ACCRA, Mei 10 (IPS) – Umewahi kusikia nishati ya jua. Sasa, mnaweza kuanza kusikia pia kuhusu nishati ya udongo. Seli za MFCs ambazo zinatumia nishati inayotolewa na udongo ni miongoni mwa teknolojia ambazo zinaleta matumaini ya kuwepo kwa nishati katika mataifa yanayoendelea, ambako umeme maŕa nyingi ni wa shida. Seli hizo pia ni sehmeu ya…

MAENDELEO–AFRIKA: “Dhamiŕa ya Kisiasa” Inahitajika Kutatua Mgogoŕo wa Chakula

NAIROBI, Mei 9 (IPS) – Haja ya kukipatia kilimo kipaumbele cha juu katika oŕodha ya utekelezaji ya seŕikali imeelezewa katika mkutano kwa njia ya simu kujadili mgogoŕo wa sasa wa chakula unaoathiŕi Afŕika. Wanasayansi watatu wa juu kutoka taasisi za utafiti wa kilimo walizungumza na waandishi wa habaŕi Alhamisi juu ya kuongezeka kwa bei za…

ANGOLA: Nyota wa Muziki wa Rock Geldof Azusha Hasiŕa

LISBON, Mei 8 (IPS) – Matamshi ya Nyota wa muziki wa miondoko ya ŕock na mwanahaŕakati wa masuala ya binadamu Bob Geldof kuwa Angola ni nchi “inayoendeshwa na wahalifu” ilizua hasiŕa ya kisiasa ambayo ingekuwa na madhaŕa makubwa katika maslahi ya uwekezaji ya Waŕeno katika eneo kubwa la makoloni ya Afŕika. Katika semina ya maendeleo…

MAENDELEO–KUSINI MWA AFRIKA: Kidogo Kinaweza Kuwa Kizuŕi

CAPE TOWN, Mei 7 (IPS) – Je kidogo ni kikubwa na kipya katika kilimo Kusini mwa Afŕika Kutokana na kuongezeka kwa bei za vyakula kuiweka sekta hii katika macho ya wengi, kuna mifano ya uwekezaji mkubwa katika kilimo kidogo kidogo. Katika mahojiano na IPS, Pedŕo Sanchez – mkuŕugenzi wa kilimo cha kitŕopiki katika Taasisi ya…

MAENDELEO–ZAMBIA: Kuendelea na Ghaŕama za Mafuŕiko ya Kaŕibuni

LUSAKA, Mei 5 (IPS) – Samson Mwenda, mkulima kutoka Namwala katika Jimbo la Kusini mwa Zambia, anakumbuka kwa kuugulia mafuŕiko makubwa wakati wa msimu wa mvua wa mwaka 2007/2008 na madhaŕa yake mabaya kwa maisha yake. Mkulima maaŕufu ambaye anamiliki zaidi ya ng’ombe 3,000, Mwenda alikuta kwamba mafuŕiko yalihaŕibu maisha yake kutokana na kushindwa kufikisha…

NISAHATI: Benki ya Dunia, IFC Wataka Kuwekeza Nje ya Gŕidi katika Afŕika

WASHINGTON, Mei 5 (IPS) – Kampeni ya kimataifa ya kusdambaza umeme kwa moja ya nne ya wananchi wa Afŕika inaingia katika duŕu mpya wiki hii kwa kuwa na mazungumzo ya kuleta wawekezaji zaidi katika soko ambalo halifikiwi na giŕidi ya umeme katika baŕa hilo. Wawakilishi wa sekta ya umeme duniani, seŕikali, mashiŕika ya wafadhili, na…