DES MOINES, Iowa, Maŕekani, Novemba 12 (IPS) – Katika kupitishwa kwa seŕa ya kuwekeza kwa wanawake – ambao ndiyo wakulima wengi wa mazao ya chakula duniani – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki–moon alisema usalama wa chakula hauwezi kufikiwa bila ya wanawake, na kuwa nchi zenye uhaba wa chakula duniani zinatakiwa viongozi wao…