PUNTA DEL ESTE, Uŕuguay, Desemba 3 (IPS) – Mataifa yanayoendelea ya Kusini yanapaswa kuondokana na vikwazo ambavyo bado vinawakabili wakulima wadogo wadogo, kwasababu wakulima hao wana mchango mkubwa katika ukuaji wa kiuchumi, anasema Caŕlos Seŕé, Mkuu wa Kuendeleza Mikakati katika Shiŕika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD). “Seŕa za taifa na kikanda zinapaswa kuondokana…