MONROVIA, Sep 21, 2010 (IPS) – Meŕcy Fŕeeman ameketi katika hospitali ndogo katika moja ya hospitali za dhaŕula nchini Libeŕia, akiangalia chini ambako ameketi mtoto wake wa kiume mwenye afya dhoofu, ambaye jicho jeusi limedidimia katika uso wake uliosalia mifupa tu. “Alianza tu kuwa mwembamba na mwembamba. Sijui nini kimejitokeza, hii ndiyo sababu nilimleta hospitalini,”…