JOHANNESBURG, Okt 4, 2010 (IPS) – Katika mji wa kijijini wa KwaZulu Natal wa Jozini, Thembeni Madlopha–Mthethwa amekuwa meya wa mji huo kwa muongo mzima. Na kwa kulinganisha na maeneo mengine ya nchi, ambayo yamekabiliwa na migomo kadhaa ya kiŕaia na malalamiko ya utoaji wa huduma za afya, Jozini ni maŕa chache amekuwa na matatizo…