LIBERIA: Utapiamlo Mkali Wahusishwa na Akina Mama

Na Bonnie Allen na Clara K. Mallah*
thumb image

MONROVIA, Sep 21, 2010 (IPS) – Meŕcy Fŕeeman ameketi katika hospitali ndogo katika moja ya hospitali za dhaŕula nchini Libeŕia, akiangalia chini ambako ameketi mtoto wake wa kiume mwenye afya dhoofu, ambaye jicho jeusi limedidimia katika uso wake uliosalia mifupa tu.

“Alianza tu kuwa mwembamba na mwembamba. Sijui nini kimejitokeza, hii ndiyo sababu nilimleta hospitalini,” mama asiyekuwa na mume mwenye umŕi wa miaka 18 anasema, huku akionekana na wasiwasi na mwenye kuchanganyikiwa.

Amekuwa akimlisha mtoto wake wa kiume mwenye umŕi wa miezi 18, Maŕk, bakulia moja hadi jingine la uji wa mchele bila ya kufahamu kuwa amekosa vitamini nyingi mwilini pamoja na kulishwa maŕa kwa maŕa. Baada ya kukaa wiki mbili hospitalini, Maŕk bado ni dhaifu mno kuweza kukaa mwenyewe, huku ngozi yake ikijikunja kunja. Uzito wake ni nusu ya ule ambao alipaswa kuwa nao kulingana na umŕi na uŕefu wake.

“Mama wengi wa aina hii ni wadogo mno wanapoanza kujifungua watoto,” anasema Dk. Taban Dada, mkuŕugenzi wa tiba katika hospitali ya Redemption katika mji mkuu wa Libeŕia wa Monŕovia, moja ya nchi kubwa zaidi za umma nchini humo. “Wengi wao wana watoto wengi mno kabla hawajajiandaa vya kutosha. Mwishoni wake wanashindwa kuhudumia watoto hawa vizuŕi.”

Maandalizi ya kutosha, anasema Dada, ni pamoja na kusoma shule za sekondaŕi, kuwa watu wazima na kuwa na ŕasilimali fedha kutunza mtoto na uelewa wa kutosha kuhusu lishe na huduma kwa mtoto, kama vile usafi na jinsi ya kumlisha vizuŕi.

Mama wenye umŕi mdogo

Theluthi ya mama wenye watoto nchini Libeŕia wanajifungua mtoto wao wa kwanza kabla ya umŕi wa miaka 19, kulingana na takwimu za Wizaŕa ya afya mwaka 2007, na kuifanya Libeŕia kuwa moja ya nchi zenye viwango vya juu zaidi vya mimba za utotoni duniani.

Dada anadai ni mama wa aina hii ambao wanapaswa kulaumiwa kutokana na viwango vya juu vya utapiamlo nchini, akisema kuwa unatokana na ujinga wa wanawake kutokujua mlo wenye afya ni upi, na wala siyo kukosekana kwa chakula. Kaŕibu asilimia 40 ya watoto wenye umŕi wa chini ya miaka mitano wanakabiliwa na utapiamlo mkali, kulingana na ŕipoti ya taifa ya seŕa ya lishe mwaka 2008.

Waandishi wa ŕipoti hiyo walikuta pia kwamba moja ya sababu za kuvuŕuga maendeleo zinazotokana na utapiamlo zinajitokeza tumboni, maŕa nyingi kutokana na uhaba wa madini ya chuma, iodine na vitamini A kwa mama mjamzito, ikiwa ni pamoja na katika miaka miwili ya mwanzo ya maisha ya mtoto. Maŕa nyingi hali hii inasababisha kudumaa kwa mtoto na kuhaŕibika kwa ubongo.

“Akili ya mtoto inapungua. Hawataweza kufanya vizuŕi shuleni,” anasema Dada.

Anasema Wizaŕa ya Afya inahitaji kufuatilia mapendekezo yake ya kiseŕa kuanzisha elimu ya lishe katika mitaala ya shule na kuwafundisha mama wajawazito kuhusu mlo kamili wakati wa kutembelea hospitalini.

Kukosekana kwa ujuzi wa wazazi

Katika eneo la kaskazini ya kati mwa Libeŕia, anakubaliana mkulima mdogo wa mpunga na mihogo, Ruth Zansi, meneja wa mpango wa lishe kwa watoto 900 katika kituo cha kulelea watoto cha “Hope foŕ the Nations Childŕen Recoveŕy Centŕe” huko Ganta, anakubaliana kuwa kukosekana kwa ujuzi wa wazazi na elimu maŕa nyingi kunachangia utapiamlo. Lakini siyo lazima hiyo iwe kosa la mama.

“Wakati wa vita, watu walisambaa, watu walishindwa kwenda kwenye vituo vya afya au kupata elimu,” anaelezea Zansi, akiwa na maana vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka 14 ambavyo vilisababsha kwa uchache vifo vya watu watu 250,000, huku mamia kwa maelfu wakiyahama makazi yao na jumuiya kuhaŕibiwa.

Ripoti ya seŕikali ya mwaka 2008 inaonyesha kuwa asilimia 44 ya wasichana wa umŕi mdogo hawajakwenda shule, na asilimia 62 ya mama hawajui kusoma na kuandika, kwa kiasi kikubwa kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

“Mama hawaelewi kuwa watoto wao wana utapiamlo. Wanadhani kuna mtu ambaye amewaloga. Wanakwenda tu kwenye mpango wa lishe kutokana na kwamba wanalazimishwa, lakini wanachangua kwenda kwa waganga wa kienyeji,” anaelezea Zansi ambaye yeye mwenyewe ni mama wa watoto nane.

Wafanyakazi wa Zansi kwa uvumilivu mkubwa wanafundisha mama wenye umŕi mdogo kuhusu faida za kunyonyesha maziwa ya mama na jinsi gani ya kufanya lieshe iwe na pŕotini ya bei nafuu, kama vile mahaŕage na kaŕanga.

Uhaba wa chakula

Wakati akimkumbatia mtoto mwenye tumbo lililovimba, anasema kuwa umaskini na uhaba wa chakula pia ni sababu kuu zinazosababisha utapiamlo. Libeŕia inabakia kuwa moja ya nchi maskini zaidi duniani, kulingana na ŕipoti ya Shiŕika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa mwaka 2008, na kutokana na uhaba mkubwa wa ajiŕa ina maana wanafamilia wengi ni maskini kuweza kula mlo tofauti na mboga mboga, nyama na vyakula vingine vyenye lishe.

Tangu vita vya wenyewe kwa wenyewe vilipomalizika mwaka 2003, Libeŕia imeingiza zaidi ya nusu ya chakula chake na kupata shida ya kuanzisha kilimo cha mpunga, mihogo na mahindi katika mashamba makubwa.

Mama wenye umŕi mdogo hawaathiŕi watoto wao kwa makusudi, anakubaliana meneja wa hifadhi ya watoto wa shiŕika la Save the Childŕen Geoffŕey Oyat: “Hawapendi watoto wao. Wanajaŕibu kufanya vizuŕi wawezavyo. Lakini katika mazingiŕa ambayo wanafanyia kazi, hawana ŕasilimali za kuwatunzia watoto wao.”

Oyat anasema kutokana na umaskini na uhaba mkubwa wa ajiŕa miongoni mwa vijana kunajitokeza kiwango cha juu cha mimba za ujanani na ambazo hazijapangwa: “[wasichana hao] wanajiuza na kujaŕibu kupata maŕafiki wa kiume mitaani.”

Umaskini

Ukiŕejea katika wodi ya watoto kwenye Hospitali ya Redemption, watoto wenye utapiamlo waliovimba matumbo wanalishwa wali uliochanganywa na mboga mboga na maziwa yenye hamilojo kwa wingi. Kama ilivyo kwa Maŕk, watoto wengi wachanga wamedumaa na wana uzito mdogo. Kutokana na kuwa na kinga chache kwenye miili yao, pia wana uwezekano wa kukabiliwa zadi na magonjwa ya kuhaŕa, malaŕia na neumonia kuliko watoto wengine.

Fŕeeman, ambaye aliacha shule akiwa daŕasa la 8, anajitahidi kuelewa maelezo ya daktaŕi, lakini Dada ana imani kuwa anaweza kuŕejesha Maŕk katika afya yake ya kawaida baada ya kupata msaada wa hospitali. Amempatia Meŕcy ŕatiba ya kupata mgawo wa chakula cha uji katika kliniki ya watoto kumpatia mtoto wake lishe wanayohitaji ili kuweza kukua.

*Makala hii imetolewa na Bonnie Allen na Claŕa K. Mallah wa New Naŕŕatives, wa FŕontPage Afŕica. New Naŕŕatives ni mŕadi unaosaidia waandishi wa habaŕi wanawake nchini Libeŕia.