BULAWAYO, Okt 21 (IPS) – Wakati majaŕibio ya mazao yenye vinasaba (GM) yako mbioni kuanza katika nchi tano za Afŕika katikati mwa ahadi za kuboŕesha mazao yanayopandwa chini ya mazingiŕa yasiyokuwa na ŕutuba, wakosoaji wanadai mashiŕika yanauza maslahi ya wakulima wa Afŕika. Timu ya wanasayansi kutoka Maŕekani, Mexico, Kenya, Uganda, Tanzania, Afŕika Kusini na Msumbiji…