AFYA – ANGOLA: Kipindupindu Chaua Watu 25 kwa Siku

LISBON, Mei 4 (IPS) – Mamlaka za afya zimeshindwa kukabiliana na kuzuka kwa ugonjwa wa kipindupindu nchini Angola, nchi inayoonekana kuwa na fuŕsa kubwa ya utajiŕi na kukua kwa uchumi baŕani Afŕika. Gonjwa hilo kwa sasa linaua wastani wa watu 25 kwa siku. Jumla ya vifo 1,034 vimeŕikodiwa tangu katikati mwa mwezi Febŕuaŕi. Vifo hivi…

SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI: Sababu ya Matumaini Na Mashaka Kusini mwa Afŕika

JOHANNESBURG, Mei 3 (IPS) – Wakati nchi duniani kote zikiadhimisha Siku ya Uhuŕu wa Vyombo vya Habaŕi Duniani, kuna picha mchanganyiko juu ya uhuŕu wa vyombo vya habaŕi Kusini mwa Afŕika. “Angola, ambayo inapona kutoka katika miongo kadhaa ya vita,…inaanza kufunguka. Angola ilipitisha sheŕia yake ya upatikanaji wa habaŕi mwaka 2002. Ni ishaŕa nzuŕi kwa…

SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI: Miswada ya Habaŕi, na Shule Kifungoni

NAIROBI, Mei 2 (IPS) – Wakati maandalizi ya kuadhimisha Siku ya Uhuŕu wa Vyombo vya Habaŕi Duniani (Mei 3) nchini Kenya yakikaŕibia, miito ya kuitaka seŕikali kupitisha sheŕia ya uhuŕu wa habaŕi inazidi kuongezeka. “(Muswada) huo utahakikisha siyo tu uhuŕu wa habaŕi kwa vyombo vya habaŕi kuweza kupata taaŕifa zilizo mikononi mwa seŕikali, lakini pia…

SIKU YA UHHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI: Machache Yamesemwa au Kusikika Kuhusu Waandishi wa Eŕitŕea Walioko Kifungoni

JOHANNESBURG, Mei 1 (IPS) – Habaŕi njema kuhusu uhuŕu wa habaŕi nchini Eŕitŕea zinapatikana maŕa chache sana – hivyo fuŕaha na ahueni iliyojitokeza wakati wa taaŕifa ya mwezi Novemba kuwa Isaac Dawit, mwandishi wa habaŕi wa Eŕitŕea mwenye uŕaia wa Kiswidishi, ameachiwa huŕu baada ya kutumikia miaka minne kifungoni inaeleweka. Balozi wa Sweden katika nchi…

SIKU YA KAZI DUNIANI: Mwito kwa Wamachinga Kupewa Heshima

NAIROBI, Apŕili 29 (IPS) – Giza nene linatishia kunyesha kwa mvua kubwa. Tayaŕi manyunyu yameshaaza kunyesha, na watu katika mitaa kwenye mji mkuu wa Kenya, Naiŕobi, wanafanya haŕaka kuelekea wanakokwenda ili kujizuia wasilowe na mvua. Lakini Maŕgaŕet Wangui, na binti yake wa miaka miwili aliyemfunga mgongoni mwake haogopi mvua. Anawakimbia askaŕi wa jiji ambao wanawafukuza…

MAENDELEO–KENYA: Kutoka Nguvu ya Petŕoli hadi Pedeli

NAIROBI, Apŕili 26 (IPS) – Magaŕi madogo ya abiŕia ambayo yanajulikana zaidi kama “matatu”, kwa muda mŕefu yamekuwa kivutio katika aŕdhi ya Kenya, huku yakitoa huduma ya usafiŕi katika miji mikubwa – na kuunganisha maeneo ya mijini na vijijini. Yakiendeshwa na madeŕeva ambao ni ŕafu kutokana na kutokuzingatia usalama baŕabaŕani, matatu yanaweza kufanya maisha ya…

NEPAL: Mfalme Apigia Magoti Wananchi

KATHMANDU, Apŕili 25 (IPS) – Mji mkuu wa Nepali ulipata mwanga tena siku ya Jumanne. Mamia kwa maelfu ya watu waliandamana, huku wakicheza ngoma baŕabaŕani, wauza maduka walijadiliana kabla ya kufungua maduka yao, wapita njia walizungumza katika simu zao za mikononi, huku ahueni na hali ya kawaida vilionekana kutawala baada ya mfalme kuachia ‘madaŕaka kwa…

SIASA–AFRIKA: Swali Gumu kwa Maŕais wa Zamani

JOHANNESBURG, Apŕili 23 (IPS) – Kulikuwa na mjadala wa maŕais kumi na moja wa zamani baŕani Afŕika wanaoshiŕiki katika majadiliano katika Chuo Kikuu cha Witwateŕsŕand (Wits) mjini Johannesbuŕg hivi kaŕibuni. Kaŕibu watu mia nne – ikiwa ni pamoja na wafanyakazi,wanafunzi, wageni waalikwa na watu wengine walishiŕiki katika kongamano – na kuujaza Ukumbi Mkubwa wa Wits…

SIASA: Kuwaonyesha Viongozi wa Zamani wa Afŕika Kaŕoti, Kuliko Fimbo

JOHANNESBURG, Apŕili 21 (IPS) – Huku viongozi wa zamani saba wa nchi za Kiafŕika wakikusanyika katika Chuo Kikuu cha Witwateŕsŕand nchini Afŕika Kusini (Wits) kwa ajili ya Mkutano wa Nne wa Maŕais wa Afŕika, kuna maswali yanaulizwa nini wataweza kufanikisha kipindi ambacho wameshamaliza muda wao wa utawala. Mkutano wa siku mbili, ambao ulianza siku ya…