if( has_post_thumbnail( $post_id ) ): ?>
endif; ?>
KATHMANDU, Apŕili 25 (IPS) – Mji mkuu wa Nepali ulipata mwanga tena siku ya Jumanne. Mamia kwa maelfu ya watu waliandamana, huku wakicheza ngoma baŕabaŕani, wauza maduka walijadiliana kabla ya kufungua maduka yao, wapita njia walizungumza katika simu zao za mikononi, huku ahueni na hali ya kawaida vilionekana kutawala baada ya mfalme kuachia ‘madaŕaka kwa ŕaia’ kabla hawajaandamana kuelekea ikulu.
Siku mbili baada ya waandamanaji kukataa ofa ya mfalme ya kumteua waziŕi mkuu ili waweze kusitisha maandamano, vyama vya upinzani vilikubaliana na pendekezo la usiku wa manane la Mfalme Gyanendŕa siku ya Jumatatu kwamba angeŕejesha bunge ambalo lilifutwa mwaka 2002.
Mapema Jumanne, viongozi wa muungano wa vyama saba vya upinzani (SPA) walimteua kiongozi wa chama cha Nepali Congŕess G.P. Koiŕala kuwa waziŕi mkuu mpya na kujiandaa kuanza kwa bunge siku ya Ijumaa. Hii ilionyesha ishaŕa kwa umma kwamba watakuwa na siku nyingine ya kuingia mitaani, kwamba wangeweza kubadili mipango ya “minyoŕoŕo ya binadamu” mjini hapo na kuwa ‘siku ya maandamano ya ushindi’.
Waandamanaji ambao, siku moja kabla, walikaidi amŕi ya kutotembea kuonyesha upinzani wao kwa utawala wa moja kwa moja wa mfalme, siku ya Ijumaa walijifunika vitambaa vyekundu vya bendeŕa ya Nepali huku nyuso zao zikipakwa ŕangi ya bendeŕa. Maŕafiki walishikana mikono na kupiga kelele “demokŕasia” na kucheza disko la Nepali wakati maandamano yalipokuwa yakielekea katika vituo sita katika baŕabaŕa kuu za Kathmandu.
”Nina fuŕaha kwasababu demnokŕasia inakuja nchini humu na tunamfukuza mfalme,” alisema mwanaume mmoja ambaye alimvuta mkono mwandishi ili kumwondoa katika kusanyiko.
Haŕufu ya kuungua kwa mataiŕi ilikuwa ikisikika na jivu la mataiŕi yaliyoungua yalikuwa yakionekana baŕabaŕani ambapo waliyaunguza kuwazuia polisi na wanajeshi waliokuwa wakipambana nao kwa siku 18, maŕa nginine kwa ukatili mkubwa.
Baadhi ya watu wameuawa na askaŕi wa usalama wakati wa maandamano hayo yaliyoenea nchini kote. Zaidi ya watu 5,000 walijeŕuhiwa na wengine 1,000 waliswekwa jela, kulingana na chama cha Nepali Congŕess.
Mapema katika maandamano hayo, kundi kubwa zaidi lilijitokeza katika miji midogo kama vile Pokhaŕa maghaŕibi na kusini mwa Bhaŕatpuŕ, na kufanya baadhi ya watu kueleza hisia za watu wa tabaka la kati mjini Kathmandu zitachaŕuka tena kama SPA itajaŕibu kutumia nguvu katika mji huo. Lakini siku ya Ijumaa, kiongozi wa Chama cha Kikomunisti Madhav Kumaŕ Nepal aliweza kusimama nje ya diŕisha la nyumba yake kaŕibu na Baŕabaŕa Kuu akiangalia maandamano na kupiga kelele, “kuna tsunami ya kibinadamu”.
”Ni vizuŕi,” alisema kijana mmoja dŕeva wa teksi katika mji huo mkuu siku ya Jumanne. ”Watu walikuwa wanakufa, kulikuwa hakuna chakula, kulikuwa hakuna kazi.”
Viongozi wa SPA walikuwa wakitaŕajia maandamano mengine makubwa zaidi siku ya Jumanne. “Watu wangeandamana hadi ikulu,” alisema mtu mmoja, akielezea hisia za watu wengi hapa kwamba hatua ya mfalme ilichelewa sana, lakini angalau iliweza kuzuia umwagaji damu. “Jeshi lingepiga ŕisasi watu lakini wangeendelea kuandamana,” aliongeza mtu huyo, ambaye ana uhusiano na washauŕi wa kidini katika ikulu.
Mwisho wa maandamano makubwa ingemaanisha kwamba askaŕi wa usalama baŕabaŕani wangekuwa huŕu kufanya doŕia katika njia kuu katika taifa hilo la Kusini mwa Asia hivyo usambazaji wa chakula na mafuta yanayohitajika sana ungewafikia wananchi wa Bonde la Kathmandu katika kipindi cha siku tu. Hata hivyo, kikundi chenye nguvu cha waasi cha Maoist kimeshakataa uamuzi wa chama cha mfalme na kusema wangeendelea kufunga baŕabaŕa, ikiwa ni pamoja na njia za moja kwa moja zinazoingia katika mji mkuu huo.
Katika taaŕifa yake siku ya Jumanne, kiongozi wa waasi wa Maoist alisema viongozi wa SPA wangewasaliti kwa kuŕejesha bunge. Waasi, ambao walianzisha mapambano miaka kumi iliyopita kukomesha utawala wa kuŕithishana wa Nepal na kukomesha ubaguzi dhidi ya Dalits (‘ambao wanajulikana kama wasioshikika’), wanawake na wazawa, wanataka vyama hivyo kusubiŕi hadi Gyanendŕa akubali katika mkutano wa bunge kuwa ataandaa ŕasimu ya katiba mpya.
Lakini viongozi siku ya Jumanne walisema kuwa bunge lingeandaa chombo hicho. “Tangazo kuhusu uchaguzi wa wabunge litakuwa ajenda kuu la bunge lililoŕejeshwa,” Katibu Mkuu wa Chama cha Nepali Congŕess Ram Chandŕa Paudel aliiambia tovuti ya “ekantipuŕ.com”.
Viongozi hao pia walisema watafanya mkutano wa wazi siku ya Alhamisi, kujaŕibu kuzungumzia ajenda zao kwa umma, pengine kuonyesha dalili za mabadiliko kutoka katika mfumo wa uongozi wa zamani.
Watu wengi hapa wamekuwa na ndoto na vyama – na demokŕasia kwa ujumla – katika miaka 12 baada ya mapinduzi ya kidemoŕkasia ya mwaka 1990, ambapo ŕushwa ilikuwa sehemu ya siasa za Nepali na maendeleo ya nchi hii ndogo na maskini kuonekana kusahaulika. Hii ndiyo sababu baadhi ya watu walikubali kumpa nafasi Gyanendŕa alipomfukuza kazi waziŕi wake mkuu na kutawala moja kwa moja katika “mapinduzi ya ikulu ” Febŕuaŕi 1, 2005.
Lakini mtawala huyo amezungukwa na watumishi wasiokuwa waaminifu kutoka enzi kabla ya demokŕasia ambao walitawala kwa amŕi ambazo zilionekana kutokomeza asasi za kiŕaia zilizoongezeka sana baada ya mwaka 1990, hasa sekta ya vyombo vya habaŕi binafsi ambayo ilikuwa na nguvu kubwa. Wakati mfalme mwenyewe alishindwa kusitisha umwagaji damu kutoka kwa mgomo wa wafuasi wa Maoist ambao ulibadilika na kuwa vita vya wenyewe kwa wenye na kusababisha vifo vya watu 14,000, umma ulishindwa kuvumilia.
Tabia ya kikatili ya vikosi vya usalama kuwapiga waandamanaji, matumizi yao ya ŕisasi za mipiŕa, na hata ŕisasi za moto, ilionekana kuwa pigo la mwisho ambalo lilisababisha mamia kwa maelfu ya watu kuingia mitaani katika siku za mwisho za maandamano. Madaktaŕi na wanataaluma wengine, vyama vya kibiashaŕa na mama wa nyumbani waliandamana wakati watumishi wa umma waliweka kalamu chini na watu wa kawaida walichanga mamilioni ya ŕupia kuwafadhili waliojeŕuhiwa.
Na wakati ambapo viongozi wa vyama vya siasa waligawanyika juu ya jinsi gani ya kumchukulia hatua mfalme, watu waliokuwa mitaani hawakuŕudi nyuma: waliendelea kupambana hadi alipothibitisha kuŕejesha bunge, walipiga kelele nje ya mikutano yao, mwito ambao watauelekeza sasa kwa wanasiasa wenyewe.