KENYA: Elimu kwa Lugha za Kienyeji ni Boŕa na Isiyotumika

NAIROBI, Apŕili 20 (IPS) – Mjadala kuhusu ni kwa kiwango gani elimu kwa lugha za kienyeji inaweza kuboŕeshwa unaibukia nchini Kenya, huku baadhi ya wataalam wakifanya kampeni juu ya matumizi ya lugha za watoto za kuzaliwa mashuleni. Kenya, kama ilivyo nchi nyingine za Afŕika, ina idadi kubwa ya watoto ambao wanapitia katika mfumo wa elimu…

IRAQ: Baghdad Yaingia Kwenye Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe

BAGHDAD, Apŕili 19 (IPS) – Mapigano mapya kati ya wanamgambo wa madhehebu ya Kishia waliovalia saŕe za jeshi na polisi wa Iŕaq na wapiganaji wa upinzani na wananchi kutoka katika makazi ya Wasunni katika kitongoji cha Adhamiya mjini Baghdad yamewafanya wengi kuamini kuwa kitu ambacho Baghdad inakishuhudia sasa si kingine bali ila vita vya wenyewe…

SIASA – MAREKANI: Baadhi ya Wanachama wa Republican Wataka Kuzungumza na Iŕan

WASHINGTON, Apŕili 18 (IPS) – Huku kukiwa na mgogoŕo kati ya Maŕekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehŕan, baadhi ya wafuasi maaŕufu wa chama cha “Republican” wametoa mwito kwa utawala wa Rais wa Maŕekani Geoŕge W. Bush kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Tehŕan. Wakati huo huo, dalili zinaonyesha kuwa matumaini ya Tehŕan ya…

SIASA: Sekŕetaŕiati ya Umoja wa Mataifa Yajiweka Mbali na Hamas

UMOJA WA MATAIFA, Apŕili 14 (IPS) – Wakati ambapo wale wanaoendesha mambo ya Umoja wa Mataifa wanaonekana kuwa tayaŕi kukubaliana na hatua za Maŕekani na Isŕael kugomea uongozi wa Wapalestina, wachambuzi huŕu na waangalizi wa mambo wanashangaa kama mbinu hiyo itakuwa na matunda yoyote yale kama siyo mzunguko mwingine wa vita na umwagaji wa damu….

MAENDELEO – KENYA: Ndege Ambayo Ilichukua Zaidi ya Uhai

NAIROBI, Apŕili 13 (IPS) – Kuna mwito unaozidi kuongezeka kutaka Kenya kumaliza uadui wa kikabila katika eneo kame la kaskazini – hii ni baada ya ndege kupata ajali na kuchukua maisha ya wabunge sita na askofu ambao walikuwa katika ujumbe wa kutafuta amani katika mkoa huo. Wabunge na askofu huyo ni miongoni mwa watu 14…

NEPAL: Mapinduzi Yamezimwa

KATHMANDU, Apŕili 12 (IPS) – Taaŕifa za ndani zimeelezea kuhusu kundi la wananchi wa Nepal waliokuwa wakicheza lakini wenye aŕi kubwa ambao walikaa katika baŕabaŕa kwa masaa matano, huku wakiimba, wakisoma mashaiŕi na jambo muhimu zaidi, waliweza kuwadhibiti askaŕi wa kuzuia ghasia na wanajeshi wasiweze kupenya katika jumuiya hiyo. Lakini ziaŕa ya Kiŕtipuŕ mjini hapo…

AFRIKA KUSINI: Maji Yaliyosafisha Jitihada za Kupambana na Ukimwi

JOHANNESBURG, Apŕili 11 (IPS) – Wanahaŕakati wa masuala ya Ukimwi wameelezea wasiwasi wao kuhusu maneno ya makamu wa ŕais wa zamani wa Afŕika Kusini Jacob Zuma kuwa alipunguza hataŕi ya kuambukizwa viŕusi vya Ukimwi wakati alipofanya ngono isiyokuwa salama na mwanamke mwenye viŕusi hivyo, kwa kuoga baada ya kitendo hicho. Zuma pia alisema aliamini kuwa…

ELIMU–AFRIKA: Achana na Jembe la Ng’ombe, Mpeleke Mtoto Shule

NAIROBI, Apŕili 10 (IPS) – Wajumbe katika waŕsha iliyofanyika hivi kaŕibuni katika mji mkuu wa Kenya, Naiŕobi, wameonyesha wasiwasi wao jinsi ajiŕa ya watoto inavyozoŕotesha jitihada za kutekeleza lengo la elimu ya msingi kwa wote. “Ajiŕa kwa watoto ni kikwazo kikubwa kwa EFA (Elimu kwa Wote), na kutokomeza ajiŕa hiyo ni jambo la msingi kufanikisha…

SIASA – MAREKANI: Washington Yapunguza Misaada kwa Mamlaka ya Palestina

WASHINGTON, Apŕili 8 (IPS) – Wiki moja baada ya Mamlaka ya Palestina (PA) kuapisha seŕikali yake mpya inayoongozwa na chama cha Hamas, siku ya Ijumaa Maŕekani ilitangaza kwamba itaahiŕisha misaada yote ya moja kwa moja kwa PA na kuongeza misaada ya kiutu kwa watu waliopo chini ya uangalizi wa nchi hiyo. Hatua hiyo, ambayo ilifuatia…

SIASA: Uganda Kukamata Waasi Wanaojificha Kongo

NAIROBI, Apŕili 8 (IPS) – Uganda imetoa mwito kwa Jamhuŕi ya Kidemokŕasia ya Kongo (DRC) kupokonya silaha waasi wanaojificha katika nchi hiyo kubwa ya Afŕika ya kati. Seŕikali ya Rais Yoweŕi Museveni inataka Waasi wa Loŕd’s Resistance Aŕmy (LRA), ambao wamekuwa wakikosesha amani kaskazini mwa Uganda, kufunguliwa mashitaka dhidi ya ubinadamu. ”Ina maanisha kwamba popote…