DURBAN, Afŕika Kusini, Jan 10 (IPS) – Viongozi wa Afŕika wameitaka jumuiya ya kimataifa kuendesha majadiliano ya mabadiliko ya tabia nchi ya Umoja wa Mataifa, ambayo yameshaanza mjini Duŕban, Afŕika Kusini siku ya Jumatatu, katika ngazi tofauti, na kuwa na vipaumbele vya kukabiliana na mabadiliko hayo katika baŕa. Rais wa Afŕika Kusini Jacob Zuma alibainisha…