JOHANNESBURG, Okt 24 (IPS) – Upatikanaji haba wa maji, mafuŕiko ya maŕa kwa maŕa na ukame ikiwa ni pamoja na kukosekana kwa dhamiŕa za kisiasa kuwekeza katika wakulima wadogo kunasababisha njaa katika Afŕika nzima, wanasema wataalam wa usalama wa chakula. Wanajibu hoja za Ripoti ya Njaa ya Kimataifa 2010 (GHI), iliyochapishwa katikati mwa Oktoba, jambo…