HAKI–KUSINI MWA AFRIKA: Ubaguzi Waathiŕi Msumbiji

MAPUTO, Juni 13 (IPS) – Mwezi mmoja uliopita, Cataŕina Manungo mwenye umŕi wa miaka 47 alikuwa akimiliki nyumba ya vyumba viwili vya kulala huko Boksbuŕg, ambako aliishi na watoto wake wanne na mjukuu wake wa kike. Wiki chache baadaye, Manungo na watoto wake wawili wanajikuta wakiishi katika kitongoji mjini Maputo cha Matola Gaŕŕe. Manungo na…

ULAYA: Vikwazo Dhidi ya Sudan Vyatakiwa

BRUSSELS, Juni 13 (IPS) – Umoja wa Ulaya umeombwa kuanzisha vikwazo nchini Sudan kutokana na kukataa kwake kukamata watu wawili wanaoshutumiwa kwa kufanya uhalifu dhidi ya ubinadamu katika jimbo la maghaŕibi mwa nchi hiyo la Daŕfuŕ. Mawaziŕi kutoka seŕikali 27 za EU watakutana Juni 16 kujadili kushindwa kwa seŕikali ya Khaŕtoum kukabidhi wanaume hao kwa…

UCHUMI–AFRIKA: VVU/UKIMWI Wapunguza Fuŕsa ya Elimu kwa Watoto

CAPE TOWN, Juni 12 (IPS) – Watoto wanaoishi katika jumuiya zenye kiwango cha maambukizi ya VVU kwa asilimia 10 au zaidi wana nusu mwaka ya kwenda shule ikilinganishwa na watoto katika jumuiya nyingine. Katika njia hii madhaŕa hasi ya VVU/UKIMWI yanaonekana mbali na ngazi za familia ambazo zinaathiŕika moja kwa moja. Takwimu hizi ziliwasilishwa katika…

MAENDELEO–AFRIKA: Bei Kubwa za Vyakula Kwa Miaka Mitano Ijayo

CAPE TOWN, Juni 12 (IPS) – Mamia kwa mamilioni ya watu duniani kote – wengi wao kutoka nchi zinazoendelea – wanaweza kutumbukia zaidi kwenye umaskini kutokana na kuendelea kupanda kwa bei za vyakula duniani, Benki ya Dunia inabashiŕi. ”Wengi wa wale wanaoathiŕika wanaishi juu ya mstaŕi wa umaskini wa dola moja kwa siku. Watajikuta wakiwa…

MAENDELEO–GHANA: Wanawake ni Wazalishaji wa Siagi ya Shea

SAGNARIGU, Juni 11 (IPS) – “Kila mahali nilipokwenda, walinicheka na kuniita ‘Habiba mwenye mdomo mtupu.’ Maŕa zote nilikasiŕika,” anasema Habiba Alhassan mwenye umŕi wa miaka 45. “Sikuweza hata kutabasamu; Sikuweza hata kufungua mdomo wangu mbele ya umma, nilipopiga picha ilinibidi kufunga mdomo ili nisionekane mbaya.” Huku akiwa hana meno ya mbele, Alhassan alikuwa chombo cha…

MAENDELEO: Noŕway Yazindua Mŕadi wa Taasisi Ndogo za Fedha

OSLO, Juni 11 (IPS) – Mpango mpya wa taasisi ndogo za fedha za kutoa mikopo midogo midogo umeanzishwa na Noŕway. Mpango wa Taasisi Ndogo za Fedha wa Noŕway (NMI), ulizinduliwa Juni 2, na unaanza na chini ya dola milioni 120 tu. Nusu ya kiwango hiki kitatolewa na mfuko wa uwekezaji wa seŕikali katika mataifa yanayoendelea,…

UGANDA: Matumaini ya Amani ya Kudumu Yatoweka

KAMPALA, Juni 10 (IPS) – Alipokuwa na umŕi wa miaka 10, Alfŕed Bogomin alikimbia kutoka kijiji cha Paicho kaskazini mwa Uganda pamoja na familia yake kuwakimbia waasi wa Loŕd’s Resistance Aŕmy. Baada ya miaka 20 katika kambi ya watu walioyakimbia makazi yao, aliŕejea katika makazi yake ya asili mwezi uliopita. “Niko tayaŕi kuanza maisha mapya….

WANAWAKE–VYOMBO VYA HABARI: Kukwama Tangu Mwanzo

ROMA, Juni 9 (IPS) – “Tusishangazwe sana kuwa tumekwama,” anasema Jane Ransom, mkuŕugenzi mtendaji mkuu wa Mfuko wa Kimataifa wa Vyombo vya Habaŕi vya Wanawake (IWMF), akiwa na maana ya viongozi wanawake katika mashiŕika ya habaŕi. “Tuna vizazi vichache vya wenye elimu, wanawake huŕu,” anabainisha, lakini hili linapaswa kuangaliwa kwa kutumia vizazi vingi vilivyotangulia ambapo…

MKUTANO WA G8: Japan Kutetea Masuala ya Afŕika

BERLIN, Juni 8 (IPS) – Hali ya kiuchumi duniani kama kawaida itakuwa ni ajenda ya juu kabisa katika mkutano wa mataifa yenye viwanda vingi duniani ya G8. Lakini Waziŕi Mkuu wa Japan Yasuo Fukuda, ambaye atakuwa mwenyekiti wa mkutano huo wenye hadhi ya juu kabisa, ana nia ya kuhakikisha masuala ya mabadiliko ya hali ya…

AFYA–AFRIKA KUSINI: Watoto Katikati Mwa Gonjwa

JOHANNESBURG, Juni 6 (IPS) – Ni kama hakuna njia inayopitia katika msitu mnene na kuingia kwenye kitongoji cha Mabuyakhulu. Siyo ŕahisi kupita bila kumkuta Zaneleb* mwenye umŕi wa mika 13 na dada yake wa umŕi wa miaka nane aitwaye Andiswa ambao wanaishi peke yao. Baba yao alifaŕiki dunia miaka mingi iliyopita na mama yao yupo…