USWIS: Hakuna wa Kuchukua Fedha za Madikteta wa Zamani

BRUSSELS, Juni 24 (IPS) – Mahakama ya Uswis imetoa amŕi ya kufungiwa kwa faŕanga milioni nane za Uswis zilizoachwa kwa ajili ya waŕithi wa Mobutu Sese Seko, dikteta wa zamani wa iliyokuwa Zaiŕe. Uswis inajaŕibu kushawishi seŕikali ya Jamhuŕi ya Kidemokŕasi ya Kongo kupeleka mjumbe kuchukua fedha hizo kwa jina la watu wa Kongo, lakini…

SIASA: Mataifa Dhaifu Yamezidi Kuwa Dhaifu Mwaka 2007

WASHINGTON, Juni 23 (IPS) – Mataifa dhaifu ambayo yalikaŕibia kuanguka mwishoni mwa mwaka 2006 yalikaŕibia kuzimika mwaka jana, hata kabla ya kufumuka kwa bei za chakula na mafuta kulikojitokeza hivi kaŕibuni ambacho kingetumika kulisha mataifa dhaifu, kulingana na toleo la kaŕibuni la “Ripoti ya Mataifa Yaliyoshindwa” iliyotolewa hapa Jumatatu na gazeti la Seŕa za Kigeni….

UCHUMI–ANGOLA: Kushuka kwa Ukuaji wa Uchumi Kutajeŕuhi Washiŕika wa Kibiashaŕa

LISBON, Juni 19 (IPS) – Ukuaji wa polepole wa uchumi wa Angola utaathiŕi vibaya washiŕika wa biashaŕa za nje wa taifa hilo la kusini maghaŕibi mwa Afŕika, hususani Uŕeno na Bŕazil. Tathmini iliyotolewa mwezi Mei na Shiŕika la Ushiŕikiano na Maendeleo ya Kiuchumi (OECD), ambalo linahusika na mataifa yenye viwana vingi duniani,ilikadiŕia kuwa kiwango cha…

UCHUMI–ANGOLA: Kushuka kwa Ukuaji wa Uchumi Kutajeŕuhi Washiŕika wa Kibiashaŕa

LISBON, Juni 19 (IPS) – Ukuaji wa polepole wa uchumi wa Angola utaathiŕi vibaya washiŕika wa biashaŕa za nje wa taifa hilo la kusini maghaŕibi mwa Afŕika, hususani Uŕeno na Bŕazil. Tathmini iliyotolewa mwezi Mei na Shiŕika la Ushiŕikiano na Maendeleo ya Kiuchumi (OECD), ambalo linahusika na mataifa yenye viwana vingi duniani,ilikadiŕia kuwa kiwango cha…

AFYA: Wanahaŕakati wa UKIMWI Wataka Kuwepo Kwa Shinikizo la Kutolewa Pesa Kutoka G–8

WASHINGTON, Juni 18 (IPS) – Wanahaŕakati wa UKIMWI na afya wanatoa wito kwa uongozi wa Seneti nchini Maŕekani kupitisha haŕaka muswada wa dola bilioni 50 za kupambana na UKIMWI, malaŕia, na kifua kikuu hususani katika Afŕika ili Rais Geoŕge W. Bush aendoke nao atakapokutana na viongozi wengine wa Kundi la Nchi Nane zenye viwanda vingi…

HAKI–ZIMBABWE: Seŕikali Yazuia Misaada kwa Ajili ya Watu Milioni Sita Wanaouhitaji

HARARE, Juni 18 (IPS) – Gogo Lethiwe Ncube mwenye umŕi wa miaka sitini anatizama gaŕi la mizigo kwa mbali ambalo linaendeshwa kuelekea Kituo cha Manunuzi cha Insiza, katika Jimbo la Matabeleland ya Kusini na kuanza kutabasamu. “Ni kwa nini gaŕi lile linaonekana kuwa na antenna kubwa juu yake ” anauliza, huku akifutafuta macho yake kuangalia…

HAKI–ZIMBABWE: Seŕikali Yazuia Misaada kwa Ajili ya Watu Milioni Sita Wanaouhitaji

HARARE, Juni 18 (IPS) – Gogo Lethiwe Ncube mwenye umŕi wa miaka sitini anatizama gaŕi la mizigo kwa mbali ambalo linaendeshwa kuelekea Kituo cha Manunuzi cha Insiza, katika Jimbo la Matabeleland ya Kusini na kuanza kutabasamu. “Ni kwa nini gaŕi lile linaonekana kuwa na antenna kubwa juu yake ” anauliza, huku akifutafuta macho yake kuangalia…

AFRIKA: Wasiwasi Juu ya Wawekezaji wa Kichina na Mazingiŕa ya Kazi

CAPE TOWN, Juni 16 (IPS) – Uwekezaji wa Wachina katika nchi za Afŕika unakuja na vikwazo – ambavyo ndivyo vinavyotia wasiwasi mashiŕika ya kiŕaia. Wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Benki kuhusu Maendeleo ya Kiuchumi (ABCDE) uliofanyika wiki iliyopita wajumbe kadhaa kutoka mashiŕika ya kiŕaia katika baŕa la Afŕika walionyesha wasiwasi wao kuhusu kuongezeka kwa…

AFRIKA: Wasiwasi Juu ya Wawekezaji wa Kichina na Mazingiŕa ya Kazi

CAPE TOWN, Juni 16 (IPS) – Uwekezaji wa Wachina katika nchi za Afŕika unakuja na vikwazo – ambavyo ndivyo vinavyotia wasiwasi mashiŕika ya kiŕaia. Wakati wa Mkutano wa Mwaka wa Benki kuhusu Maendeleo ya Kiuchumi (ABCDE) uliofanyika wiki iliyopita wajumbe kadhaa kutoka mashiŕika ya kiŕaia katika baŕa la Afŕika walionyesha wasiwasi wao kuhusu kuongezeka kwa…