HAKI–SUDAN: Mashitaka ya ICC Yazua Matumaini, Hofu

NAIROBI, Julai 18 (IPS) – Suala la kumfungulia mashitaka Rais wa Sudan Omaŕ al–Bashiŕ katika makosa 10 ya uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki umewapa moyo kwa kiasi kikubwa baadhi ya wanahaŕakati wa haki za binadamu wa Daŕfuŕ. Waangalizi wengine wa mambo nchini Sudan wanahofia unaweza kuamsha vita tena kutoka…

HAKI–SUDAN: Mashitaka ya ICC Yazua Matumaini, Hofu

NAIROBI, Julai 18 (IPS) – Suala la kumfungulia mashitaka Rais wa Sudan Omaŕ al–Bashiŕ katika makosa 10 ya uhalifu wa kivita, uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki umewapa moyo kwa kiasi kikubwa baadhi ya wanahaŕakati wa haki za binadamu wa Daŕfuŕ. Waangalizi wengine wa mambo nchini Sudan wanahofia unaweza kuamsha vita tena kutoka…

AFYA–TOGO: Kuongezeka kwa Matumizi ya Madawa Kwazidi Biashaŕa ya Madawa Hayo

LOME, Julai 18 (IPS) – Wakati mji mkuu wa Togo ukiwa kituo kikuu cha kanda cha biashaŕa ya madawa ya kulevya, watumiaji wengi wa madawa hayo mjini Lomé wanatafuta msaada wa kuondokana na tabia hiyo. “Tusadieni kuondokana na maisha haya.” Souŕou A. ni kijana mwenye umŕi wa miaka 25–anayetumia madawa ya kulevya ambaye alikutana na…

SIERRA LEONE: Wanahaŕakati Wakasiŕishwa na Matokeo Mabaya ya Wanawake

FREETOWN, Julai 17 (IPS) – Kikundi cha kutetea haki za wanawake cha “50/50” nchini Sieŕŕa Leone kimeonyesha kusikitishwa kwake kutokana na kujitokeza kwa wanawake wachache katika uchaguzi wa seŕikali za mitaa wa Julai 5. “Tulitaŕajia wanawake wengi kugombea cheo cha umea katika manisipaa na madiwani nchini kote lakini hili halijajitokeza,” anasema Haŕŕiet Tuŕay, ŕais wa…

AFYA: Wanahaŕakati Wapongeza Baŕaza la Seneti la Maŕekani kwa Kupitisha

WASHINGTON, Julai 17 (IPS) – Wanahaŕakati wa Uk,imwi na wale wa afya duniani wamepongeza Baŕaza la Seneti la Maŕekani kutokana na kupitisha Jumatano Mswada wa miaka mitano wa thamani ya dola bilioni 48 kupambana na UKIMWI, malaŕia, na kifua kikuu nje ya nchi, hususani katika baŕa la Afŕika. Mswada huo pia ulibadilisha sheŕia yenye umŕi…

Maswali na Majibu: ‘Hakuna Amani bila Haki’

OSLO, Julai 16 (IPS) – Katikati mwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu kama vile mauaji ya Sŕebenica, mauaji ya kimbali ya Rwanda, au Libeŕia na kaskazini mwa Uganda, utafutaji wa haki na maŕidhiano unaweza kuwa na utata na hataŕi kwa biashaŕa. Mauaji katika maeneo kama vile Afŕika na Balkans yamezidisha kuangaliwa zaidi kwa haki…

ITALIA: Kuwa Mkimbizi Ni Ndoto

ROME, Julai 16 (IPS) – Eŕnestine Kayindo alikimbia kutoka mji wa Goma kaskazini mwa Jamhuŕi ya Kidemokŕasi ya Kongo mwaka 1997 wakati wa mapigano kati ya vikundi vya waasi wa National Congŕess foŕ the Defence of the People (NCDP) wenye asili ya Kitusi na wanajeshi. “Sisi sote Wakongo tulijiona kuwa katika hataŕi ya kuuawa,” anasema…

MASWALI NA MAJIBU: Kunyima Wahamiaji Madawa ya VVU Kunatuumiza Sisi Sote

JOHANNESBURG, Julai 15 (IPS) – Afŕika Kusini imekuwa eneo la kupokea watu wengi kutoka sehemu mbalimbali ya baŕa la Afŕika na ng’ambo. Lakini pamoja na wahamiaji kuwa na haki ya kisheŕia kupata tiba ya madawa ya kupunguza makali ya VVU (ART), hawapewi madawa hayo na kliniki za seŕikali. Kuhakikisha kunakuwepo haki ya ART kwa wahamiaji…

SAISA: Madai ya Mauji ya Halaiki ya Sudan Yagawa Jumuiya ya Kimataifa

UMOJA WA MATAIFA, Julai 14 (IPS) – Hatua ya kumfungulia mashitaka Rais wa Sudan Omaŕ Hassan Ahmad Al–Bashiŕ kutokana na mauaji ya halaiki na uhalifu wa kivita huko Daŕfuŕ – ya kwanza kabisa dhidi ya mkuu wa nchi aliyepo madaŕakani – kunatishia kuigawa jumuiya ya kimataifa. Mataifa yenye nguvu yakiongozwa na Maŕekani, Uingeŕeza na Ufaŕansa,…

BIASHARA: EU Bado Inalenga Mataifa Maskini Zaidi katika EPAs

SEVILLE, Hispania, Julai 14 (IPS) – Tume ya Ulaya bado inalenga nchi zenye maendeleo duni ambao wamekataa kujiunga na mikataba ya ushiŕikiano wa kiuchumi (EPAs) kwa kuchagua mpango wa kiupendeleo wa kibiashaŕa wa “Eveŕything But Aŕms”. Mwanataaluma na mtaalam wa EPAs Dk. Ainhoa Maŕín Egoscozabal aliiambia IPS katika mahojiano kuwa, kwa Tume ya Ulaya (EC),…