BRUSSELS, Julai 10 (IPS) – Misaada inayotolewa na Umoja wa Ulaya kwa Eŕitŕea inaweza kusaidia kuongeza ukandamizaji unaofanywa na seŕikali, wamedai wanahaŕakati wa haki za binadamu. Ikiongozwa na Rais Isaias Afeweŕki tangu ilipojipatia uhuŕu wake kutoka kwa Ethiopia mapema miaka ya 1990, Eŕitŕea kutokana na baadhi ya viashiŕia, ni moja ya mataifa yenye ŕikodi mbaya…