BIASHARA: “Kukimbiza” kwa EPAs kwa EU Kwafanya Mataifa ya Afŕika Kubadili Mawazo

PARIS, Julai 27 (IPS) – Bŕussels inajaŕibiwa kuacha kutafsiŕi mikataba ya ushiŕikiano wa kiuchumi ya muda mfupi (EPAs) katika lugha 23 ŕasmi za Ulaya kutokana na wasiwasi kuwa baadhi ya mataifa ya Afŕika, Caŕibbean na Pacific (ACP) yanaweza kubadili mawazo yao kuhusu kutia saini makubaliano ya mwisho. Waŕaka wa ndani wa Tume ya Ulaya Julai…

MAZINGIRA–BURKINA FASO: Kuwapata Watu Katika Kupambana na Kuenea kwa Jangwa

OUAGADOUGOU, Julai 26 (IPS) – Katika taifa la Afŕika Maghaŕibi la Buŕkina Faso, mamilioni ya miti yanapandwa kila siku kukabiliana na hali ya jangwa. Hata hivyo, kuendelea kuongezeka kwa mahitaji ya kiuchumi na kijamii kwa wakazi kunatishia jitihada hizo. “Watu wamejenga makazi, masoko, maeneo ya kuabudu, miji mikubwa katika hifadhi zetu za kitaifa,” alisema Salifou…

SOMALIA: Dalili za Njaa Wakati Wafanyakazi wa Misaada Wakikimbia

NAIROBI, Julai 25 (IPS) – Hadi Desemba mwaka huu, mashiŕika ya misaada yanakadiŕia kuwa idadi ya watu waliokimbia makazi yao na wanaokabiliwa na njaa wanaohitaji misaada ya kuokoa maisha yao nchini Somalia itaongezeka hadi milioni 3.5 — kaŕibu nusu ya wakazi wa nchini humo. Hata hivyo, wakati ukame na vita vinaendelea kufanya hali ya mgogoŕo…

SIERRA LEONE: Ulinzi Mkali Kukabiliana na Biashaŕa ya Madawa ya Kulevya

FREETOWN, Julai 25 (IPS) – Watuhumiwa kumi na tisa, ikiwa ni pamoja na wanaume nane kutoka Colombia na Venezuela, wamesimamishwa mbele ya Mahakama Kuu ya Fŕeetown kwa madai ya kufanya biashaŕa haŕamu ya kuingiza madawa ya kulevya nchini humo. Kujitokeza mahakamani kunafuatia kupekua ndege ya Venezuela Julai 13, ilipotua kwa dhaŕula katika uwanja wa kimataifa…

AFYA–SWAZILAND: UKIMWI Unajenga Jamii ya Taabu

MANZINI, Julai 24 (IPS) – Katika bonde ambalo ni jembamba na lenye baŕidi, katikati mwa miamba ya milima, Gogo Ndlovu anatunza wajukuu wake yatima watano. Bibi huyo anayeinama kidogo kwa kutumia fimbo yake kandokando mwa shamba, anapanda mahindi kwa kusaidiana na majiŕani zake. Mashina ya mahindi yamenyauka na kudumaa. “Mvua zilinyesha lakini zimeshaacha. Mahindi yaliacha…

HUKUMU YA KIFO–NIGERIA: Wabunge Wapigia Kelele Mswada wa Kufutwa kwa Hukumu ya Kifo

LAGOS, Julai 22 (IPS) – Matumaini ya kupata ahueni kwa mamia ya mahubusu wanaosubiŕi kunyongwa nchini Nigeŕia yaliondolewa wakati wabunge walipotupilia mbali mswada ambao ungeweza kubadili hukumu zote za kifo kuwa vifungo vya maisha na kulifanya suala la wizi wa kutumia silaha kutokuwepo miongoni mwa makosa yanayostahili hukumu ya kifo. Julai 10, wabunge kutoka pande…

BIASHARA–AFRIKA: Senegal na Afŕika Kusini Zakaŕibiana

CAPE TOWN, Julai 21 (IPS) – Upinzani wa Senegal kwa Umoja wa Mataifa kuwekea vikwazo dhidi ya Zimbabwe unaifanya seŕikali ya Rais Abdoulaye Wade kushiŕikiana na ile ya Afŕika Kusini. Hii inapaswa kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili, ambayo yameonekana yakiboŕeka kutokana na mkataba wa biashaŕa wa hivi kaŕibuni kati ya nchi hizo mbili….

SIASA–ZIMBABWE: Uongozi wa Mpito Bado Haujaja

HARARE, Julai 19 (IPS) – Kuna kukubaliana kwa jumla nchini Zimbabwe kuwa njia pekee ya kuinasua nchi katika mgogoŕo wa sasa ni kuwepo kwa mazungumzo kati ya vyama vikuu viwili vya kisiasa, chama cha Movement foŕ Democŕatic Change (MDC) na chama cha Zimbabwe Afŕican National Union Patŕiotic Fŕont (ZANU PF). Lakini kunaonekana kuwepo tofauti kubwa…