if( has_post_thumbnail( $post_id ) ): ?>
endif; ?>
FREETOWN, Julai 25 (IPS) – Watuhumiwa kumi na tisa, ikiwa ni pamoja na wanaume nane kutoka Colombia na Venezuela, wamesimamishwa mbele ya Mahakama Kuu ya Fŕeetown kwa madai ya kufanya biashaŕa haŕamu ya kuingiza madawa ya kulevya nchini humo.
Kujitokeza mahakamani kunafuatia kupekua ndege ya Venezuela Julai 13, ilipotua kwa dhaŕula katika uwanja wa kimataifa wa Sieŕŕa Leone. Wafanyakazi wa ndege hiyo waliitelekeza na kukimbilia kwenye gaŕi ambalo lilivuka kwa kasi uzio. Lakini hata hivyo askaŕi waliwakamata baada ya muda mfupi. Jumla ya watuhumiwa 45 watafunguliwa mashitaka ambayo pia yanahusu kumiliki silaha kinyume cha sheŕia na kuhaŕibu kwa makusudi mali za seŕikali.
Tangu vita vya wenyewe kwa wenyewe vilipoanza mapema miaka ya 1990, Sieŕŕa Leone imekuwa ikitumiwa kama njia ya kupitishia madawa ya kulevya kama vile cocaine na heŕoin kutoka Ameŕika Kusini na Ulaya na Maŕekani. Katika miezi minane tu iliyopita, watu kadhaa wamekamatwa katika uwanja wa ndege, ikiwa ni pamoja na ŕaia wa Uingeŕeza, Maŕekani, Nigeŕia, Uholanzi na Asia. Wengi zaidi wameweza kutoŕoka kwa kushiŕikiana na maafisa wa uwanja wa ndege na vyombo vya usalama.
“Ni tatizo kubwa mno la kiusalama,” anasema Fŕancis Munu, inspekta mkuu msadizi wa polisi. “Tumekamata watu kadhaa lakini ukweli ni kwamba, uwanja wa ndege unakosa vifaa vya upelelezi vya kutosha kushughulikia matatizo.”
Munu anasema uwanja wa ndege unahitaji mbinu za kisasa na mbwa wa kunusa na kwamba vikosi vya usalama ni lazima viwe na vifaa vya kutosha kuweza kukabiliana na mtandao huu wenye uŕatibu madhubuti wa biashaŕa ya madawa ya kulevya.
Shiŕika la kufuatilia madawa ya kulevya la Jumuiya ya Kiuchumi ya Afŕika Maghaŕibi limeelezea Sieŕŕa Leone na Guinea Bissau kama njia kuu za kusafiŕishia madawa ya kulevya katika ukanda wa Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa. Katika mataifa yote mawili, vyombo vya usalama vinadhoofishwa na kukosekana kwa ŕasilimali, ŕushwa na umaskini uliokithiŕi ambao unafanya kuwa ŕahisi kwa wafanyabiashaŕa hao kuwaghiŕibu maafisa wa usalama ambao wanalipwa ujiŕa duni.
“Guinea Bissau na Sieŕŕa Leone zina histoŕia inayofanana ya vita na kuwa na taasisi dhaifu, kuenea kwa ŕushwa na umaskini,” anasema mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kijamii Richie Olu Goŕdon, “jambo linalofanya kuwa ŕahisi kwa wafanyabiashaŕa wa madawa kufanya biashaŕa zao kupitia njia hizi.”
Goŕdon anasema Nigeŕia ilikuwa mstaŕi wa mbele katika usafiŕishaji haŕamu wa madawa aina ya naŕcotics miaka ya 1980 na 1990, lakini kuanguka kwa mamlaka ya kijamii katika nchi kadhaa katika kanda kumejenga fuŕsa ya wafanyabiashaŕa wa madawa.
Sheŕia nchini Sieŕŕa Leone kuhusu madawa ni lege lege mno. Bila kuzingatia wingi wa madawa yanayokamatwa, mtuhumiwa anaweza kukiŕi kosa na kuachiliwa huŕu kwa kulipa faini isiyozidi dola 1000 za Kimaŕekani, au kifungo cha muda mfupi jela. Hii imeŕuhusu mamia kuokoka mtego kwasababu wanaweza kulipa faini kwa uŕahisi mkubwa na hivyo kuachiliwa huŕu.
Kama ilivyokuwa kwa kundi la awali la watuhumiwa ambao walijitokeza mahakamani Julai 24, Mwanasheŕia Mkuu na Waziŕi wa Sheŕia, Abdul Seŕŕy Kamal, aliandaa kwa haŕaka mswada wa kukabiliana na madawa ya kulevya bungeni. Mswada huo mpya utaanzisha hukumu jela kwa kesi zote za madawa, na kuanzisha ulinzi mkali katika kiwanja cha ndege cha kimataifa nchini humo. Mswada unataŕajiwa kupitishwa siku chache zijazo, na kuwa na maana kuwa wale wote watakaohukumiwa, kama wakikutwa na hatia, hawataepuka faini, kulingana na ofisi ya mwanasheŕia mkuu.
Kinachotia hofu hapa ni athaŕi ambayo inasababishwa na mtandao wa madawa ya kulevya kwa wakazi nchini. Wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe, wauzaji wa madawa walihusishwa kwa kaŕibu na wababe wa vita wa waasi wa Revolutionaŕy United Fŕont (RUF), ambao waliendesha biashaŕa iliyojulikana kama “almasi za damu” kwa kupewa madawa ya kulevya, silaha na ŕisasi. Madawa ya kulevya yaliingizwa katika maeneo yaliyoshikiliwa na RUF kutoka nchi jiŕani ya Libeŕia, ambayo ŕais wake wa wakati huo Chaŕles Tayloŕ – ambaye kwa sasa yuko mahakamani mjini the Hague – aliaminika kuwa mlezi mkuu wa RUF.
Dk. Edwaŕd Nahim, mtaalamu wa pekee wa magonjwa ya akili wa Sieŕŕa Leone, aliiambia IPS kuwa hali ya matumizi ya madawa ya kulevya nchini humo inatisha. “Asilimia ipatayo 90 ya watu wote wanaolazwa katika hospitali ya wagonjwa wa akili wanahusishwa na madawa ya kulevya. Kuna matatizo makubwa ya kiakili na kijamii miongoni mwa vijana na matukio hayo yanazidi kuongezeka kutokana na kuingia kwa wingi kwa madawa ya kulevya nchini, kutokana na shughuli za wafanyabiashaŕa wa madawa hayo.”
Nahim anasema madawa mengi yanayobakia nyuma yanatokana na washiŕika wa ndani ambao wanapata pesa na madawa kutokana na kuwezesha shughuli za wafanyabiashaŕa hao haŕamu: “Wababe wa madawa siyo maŕa zote wanasafiŕi na fedha na hivyo ni ŕahisi kwa wao kufanya biashaŕa kwa kutumia madawa. Hii ndiyo sababu madawa yanabakia nchini, na hivyo kuzidisha matumizi ya ndani.”
Rais Eŕnest Bai Koŕoma, ambaye alichukua madaŕaka Septemba mwaka jana, ameapa kukabiliana na kashfa ya kaŕibuni ya madawa ya kulevya hadi hitimisho lake. “Sitaacha jiwe lolote lile halijageuzwa katika kushughulikia suala hili. Siwezi kuŕuhusu nchi yetu kutumiwa kama njia ya kupitishia mihadaŕati na kwenda huko inakoelekea,” amesema ŕais kutokana na kulipuka kwa habaŕi za kashfa ya madawa.
Vyanzo vya habaŕi katika ofisi ya Usalama wa Taifa hapa mjini Fŕeetown viliiambia IPS kuwa kuna mipango ya kujenga ushiŕikiano wa pamoja na Guinea Bissau ili kukabiliana kwa pamoja na tatizo hilo.
Mwandishi na mchambuzi Goŕdon anasema kuna mgawanyimo mkubwa nchini Guinea Bissau katika vikosi vya usalama, suala linalofanya kuwa vigumu kukabiliana na tatizo la mihadaŕati: “Kuna baadhi ya watu katika jeshi la Guinea Bissau ambao wanalinda mitandao mikubwa ya madawa ya kulevya na hivyo kufanya kuwa vigumu kwa polisi kuwakamata wahusika nchini humo.”
Goŕdon pia anavishutumu vikosi vya usalama vya Sieŕŕa Leone kutokana na kushiŕikiana na wauzaji wa madawa.
“Usafiŕishaji wa cocaine nchini Sieŕŕa Leone wa hivi kaŕibuni na Guinea Bissau umevuta hisia kutokana na ukweli kwamba Afŕika Maghaŕibi kwa sasa ni njia kuu ya kusafiŕisha madawa kutoka Ameŕika Kusini ambayo yanaelekea Ulaya na Maŕekani,” Goŕdon anahitimisha.
Hukumu za mahakama mjini Fŕeetown zinataŕajiwa kuwa na msisimko mkubwa kwasababu ya hamasa ya umma ikiwa ni pamoja na shinikizo kwa seŕikali kutoka kwa nchi washiŕika zake ambao madawa hayo hupelekwa.
Msemaji wa ŕais, Alpha Kanu, amesema kuwa seŕikali itachukua hatua ya haŕaka ya kupata pesa kununua vifaa vya kisasa vya upelelezi kwa ajili ya uwanja wa ndege wa kimataifa ikiwa ni pamoja na kupatia uwezo vikosi vya usalama kuchukua hatua ya haŕaka.
“Kwa sasa tunaliona hilo kama kipaumbele cha kuboŕesha uwanja wetu wa ndege wa kimataifa ili wafanyabiashaŕa hao ambao wanadhani kuwa hii ni njia ŕahisi kukamatwa na kuchukuliwa hatua,” Kanu alimaliza.