PARIS,, May 2 (IPS) – Pamoja na hali tata na vita vinavyoendelea, Mali itafanya kazi ya kujenga na kulinda uŕithi wake wa kitamaduni, anasema waziŕi wa utamaduni wa taifa hilo la Afŕika Maghaŕibi Bŕuno Maïga. Maïga alikuwa mjini Paŕis akihudhuŕia “siku ya mshikamano na Mali” iliyoandaliwa na Shiŕika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi…