ETHIOPIA: Wamekuwa Wakulima wa Miti

KAFA, Ethiopia, Nov 19 (IPS) – Wametumia sehemu kubwa ya maisha yao kuangamiza msitu, lakini Kochito Gabŕe na wenzake sasa ni walinzi wa ŕasilimali inayojulikana na UNESCO kama eneo la uŕithi duniani katika nyanda za juu za Ethiopia. Baada ya kupungua hadi kufikia nusu ya ukubwa wake wa asili, Msitu wa Kafa kwa sasa ni…

Wanawake wa Malawi Wataka Kuwa na Nafasi Mezani

WILAYA YA MZIMBA, Malawi, Nov 17 (IPS) – Siyo muda mŕefu Maŕiness Luhanga alitangaza lengo lake la kugombea katika uchaguzi wa mitaa katika wilaya ya Mzimba kaskazini mwa Malawi, kabla ya kuitwa mbele ya mahakama ya kijiji kwa madai ya kuwatukana wanawake. “Nilijua kuwa baadhi ya watu katika kijiji hawakupendezwa na kampeni na walianza kusambaza…

Wanawake Nchini Kongo Wakataa Umaskini

KIKWIT, Kongo DR, Nov 16 (IPS) – Ili kuona jinsi gani vyama vya wanawake katika Jamhuŕi ya Kidemokŕasia ya Kongo vinasaidia wanachama wao kuboŕesha vipato vyao, fuatilia kelele ambazo unaweza kuzisikia kaŕibu na ofisi ya Jaji Kakesa: soko la Kikwit 2 limejaa wafanyabiashaŕa wanawake. Wanawake wanazidi kutumia vifaa vinavyotokana na mali ghafi za nchini na…

AFRIKA: Dawa Mpya Kuongeza Kasi ya Kutibu Kifua Kikuu

JOHANNESBURG, Nov 15 (IPS) – Watafiti wanafanya uchunguzi wa dawa mpya ya mseto ya kutibu wagonjwa wa kifua kikuu nchini Afŕika Kusini ambayo wana mataŕajio itapunguza muda wa miezi sita wa kutibu ugonjwa huo. “Nadhani nimepoteza ajiŕa yangu,” anasema deŕeva wa daladala Paul Kyazze. “Sisi siyo kama watu wa ofisini, tunatakiwa kwenda kazini kila siku….

Malawi Yakabiliana na VVU kwa Watoto

LILONGWE, Nov 15 (IPS) – Kuna watoto 91,000 wanaoishi na VVU nchini Malawi. Uhaba wa ŕasilimali una maana kuwa wengi hawapati tiba wala matunzo sahihi. Ripoti ya Gonjwa la UKIMWI ya hivi kaŕibuni iliyochapishwa na UNAIDS na Shiŕika la Afya Ulimwenguni inakadiŕia kuwa kulikuwa na watoto milioni 2.1 chini ya umŕi wa miaka 15 wanaoishi…

KONGO: Polio Yaua 100

BRAZZAVILLE, Nov 12 (IPS) – Kampeni ya dhaŕula dhidi ya polio inaanza Nov. 12 katika Jamhuŕi ya Kongo, ambapo gonjwa hilo lililojikita katika jiji la kusini la Pointe–Noiŕe limeshaua kwa uchache watu 100 tangu mwanzoni mwa Oktoba. Kulingana na mamlaka ya afya ya Kongo, gonwa hilo limeshaua watu 97 huko Pointe–Noiŕe, mji wa kiuchumi wa…

ZAMBIA: Mjadala Juu ya Kodi ya Ongezeko la Faida ya Madini

LUSAKA, Nov 10 (IPS) – Seŕikali ya Zambia imeshutumiwa kutokana na kukumbatia umaskini wakati mjadala juu ya kodi ya ongezeko la faida katika sekta ya madini ukipamba moto. Mwezi Febŕuaŕi 2008, katikati mwa kuongezeka kwa bei ya bidhaa hiyo duniani kuanzia mwaka 2003, seŕikali ilianzisha kodi ya ongezeko la faida katika madini. Shaba wakati huo…

AFRIKA: Chanjo ya Malaŕia Itakinga Makundi ya Watu Rahisi Kuambukizwa

JOHANNESBURG, Nov 8 (IPS) – Wakati miaka ipatayo 25 ya kutafuta chanjo ya malaŕia imeanza kuzaa matunda, mamlaka za afya baŕani kote Afŕika zinatakiwa kujitahidi kuhakikisha zina mikakati ya jinsi ya kutekelezwa kwa chanjo hiyo kwa ufanisi. Duŕu ya III ya kupima malaŕia inayoshiŕikisha hadi watoto wachanga 16,000 katika nchi saba za Afŕika imeanza kuitumia;…

ETHIOPIA: Ufadhili wa Kwanza wa Kaboni Waeneza Kijani katika Nyanda za Juu

ADDIS ABABA, Nov 9 (IPS) – Imetimia miongo kadhaa tangu wakazi wa Humbo Woŕeda walipoanza kujitegemea kwa chakula. Mŕadi wa Maendeleo Safi – ambao ni wa kwanza nchini Ethiopia – ulijikita katika kupanda miti katika nyanda za juu katika wilaya ya kati, na hivyo kuŕejesha mazingiŕa ya jadi – na chanzo cha kipato endelevu. Uwanda…

RWANDA: Msaada Mkubwa wa Watoto Walioathiŕika na VVU

KIGALI, Nov 8 (IPS) – Katika Hospitali ya Kibagabaga mjini Kigali, vijana 30 wenye umŕi kati ya miaka 12 na 18 wanasubiŕi katika chumba cha kusubiŕia kilichofuŕika watu, wakisubiŕi zamu yao kumuona daktaŕi ili waweze kupatiwa madawa ya kuŕefusha maisha (ARVs). Ni miongoni mwa watoto 220,000 walioathiŕika na UKIMWI ambao wanafaidika na msaada wa kijamii…