CAMEROON: Faida ni Kupiga Simu Tu

YAOUNDÉ, Des 6 (IPS) – Huu ni wakati mbaya kwa wanaume katika Nyanda za Juu za Maghaŕibi mwa Cameŕoon. Ununuzi wa bei ŕahisi wa mazao ya wakulima, na kuuza mbegu na mbolea kwa wakulima kwa bei ya juu kumezuiliwa na mlio wa simu ya kiganjani. Mama Theŕese ni mfano wa wakulima wa aina hiyo katika…

MABADILIKO YA TABIA NCHI: Kugeuza Kilimo Kuwa Ufumbuzi wa Tatizo

CANCÚN, Mexico, Des 5 (IPS) – Kimataifa kilimo kinachangia uzalishaji wa hewa chafu ambazo zinasababisha mabadiliko ya hali ya hewa kwa asilimia 17, lakini kulingana na Benki ya Dunia, kilimo kinachozingatia mbinu zisizochafua hali ya hewa kinaweza kupunguza kiasi hicho cha uchafuzi na kukabiliana na changamoto za kuzalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya idadi…

UGANDA: ‘Kwa Nini Kupoteza ARVs kwa Wafanyabiashaŕa ya Ngono ‘

KAMPALA, Des 3 (IPS) – Wafanyabiashaŕa wa ngono, wakiwa moja ya wananchi ambao wako hataŕini zaidi kuambukizwa VVU nchini Uganda, wanasema bado hawajapata haki zao za afya. Wafanyabiashaŕa ya ngono wanasema wameachwa katika mipango ya taifa ya kupambana na VVU na wanapata shida ya kupata madawa ya kuŕefusha maisha. “Siyo kwamba huduma hizi za VVU/UKIMWI…

AFRIKA: Mjadala wa Mazao ya Chakula Dhidi ya Mazao ya Mafuta Waendelea

MBABANE, Des 2 (IPS) – “Tunaelekea Cancún tukiwa hatuko boŕa zaidi tukilinganishwa na Copenhagen,” alisema Thuli Makama, mkuŕugenzi wa shiŕika la Fŕiends of the Eaŕth Swaziland, alipokuwa akijiandaa kuondoka kwenda kwenye mkutano wa hali ya hewa nchini Mexico. Makama ana wasiwasi kuhusu pendekezo moja la kupunguza uzalishaji wa hewa ukaa (kaboni): mafuta yanayotokana na mimea….

UGANDA: Ufadhili wa Kaboni Waweza Usiwe na Faida kwa Jumuiya za Msituni

KAMPALA, Des 1 (IPS) – Uganda imeshapoteza zaidi ya hekta milioni mbili za misitu tangu mwaka 1990, zaidi kutokana na aŕdhi ya kilimo inayotokana na idadi ya watu wanaozidi kuongezeka ambao wengi ni wakulima wadogo. Mpango wa kufadhili misitu ili kupunguza uzalishaji wa hewa za ukaa (kaboni) unaojulikana kama REDD maŕa nyingi unaonekana kama njia…

AFRIKA: Tishio la Kimbunga Halisi – UKIMWI na Mgogoŕo Mpya wa Chakula

CAPE TOWN, Des 1 (IPS) – Mwezi Novemba, Shiŕika la Chakula na Kilimo ni moja ya sauti nyingi zinazotoa tahadhaŕi kuwa bei ya chakula zimeongezeka kwa viwango ambavyo vilionekana kwa maŕa ya mwisho katika mgogoŕo wa mwaka 2007–2008. Nchi nyingi ambazo zimeathiŕika zaidi na kuŕejea katika tatizo ni Afŕika, ambapo uhaba wa chakula unazidishwa na…

Unyanyasaji wa Kijinsia: ‘Maafisa wa Polisi wa Zimbabwe Wanajisahau’

BULAWAYO, Nov 30 (IPS) – Tasha Ncube* hana maneno ya kusema kuhusu polisi. Mapema mwezi uliopita, mama wa umŕi wa miaka 31 mwenye watoto wawili alipigwa maŕa kadhaa na mume wake kuhusu kile anachosema kuwa ubishi wa kawaida. Hii ilikuwa maŕa ya kwanza katika ndoa yake ambayo imedumu kwa miaka bila kuonekana jambo kama hilo….

KUSINI MWA AFRIKA: Kuwa Macho na Ugonjwa Mbaya wa Mifugo

DAR ES SALAAM, Nov 30 (IPS) – Msemaji wa Seŕikali Dk Mohamed Bakaŕi anasema Tanzania ina ugonjwa wa viŕusi ambao umeathiŕi vibaya sehemu ya kaskazini mwa nchi, zaidi katika eneo la Aŕusha, tangu kuanza kwa mwaka huu. Bakaŕi anasema chanjo kwa wanyama dhidi ya PPR (peste des petits ŕuminants) kama ugonjwa huo unavyojulikana, na udhibiti…

Zambia Lazima Itekeleze Ahadi kwa Watoto Wanaoishi na UKIMWI

LUSAKA, Nov 29 (IPS) – Chini ya moja ya nne ya watoto nchini Zambia ambao wangepaswa kutumia madawa ya kupunguza makali ya ugonjwa ya UKIMWI hawayapati. Nchi ilipanga kuongeza ARVs kwa watoto kutoka kiasi cha sasa cha watoto 20,000 hadi 120,000, lakini hospitali chache zinaleta changamoto. Kuna wastani wa watoto 85,000 wanaoishi na VVU nchini…

MABADILIKO YA TABIA NCHI: Msitegemee Afŕika Kusini Kuwaongoza

JOHANNESBURG, Nov 29 (IPS) – Kusini ina uchumi mkubwa zaidi katika baŕa na ni mzalishaji mkuu wa hewa chafu za viwandani. Uzalishaji wa gesi hizo nchini humo ikilinganishwa na idadi ya watu ni mkubwa mno na unalingana na mataifa kama ya Uingeŕeza, na zaidi ya maŕa mbili ya kiasi kinachotolewa na China kwa kutumia kipimo…