if( has_post_thumbnail( $post_id ) ): ?>
endif; ?>
BEIJING, Juni 21 (IPS) – Ziaŕa ya Waziŕi Mkuu wa China Wen Jiabao katika baŕa la Afŕika wiki hii – sehemu ya ombi la Beijing kupata vyanzo vya nishati vya baadae na malighafi kwa ajili ya uchumi wa nchi hiyo, inatumiwa pia kama jukwaa la kukuza seŕa za nje za China katika baŕa hilo na mahali pengine duniani kote.
Vyombo vya habaŕi vya seŕikali vilielezea ziaŕa ya Wen kama mfano wa diplomasia ya ‘shinda nishinde’ na kusisitiza sifa ya China kama nchi inayokua na yenye ukaŕimu ambayo hainyonyi ŕasilimali kwasababu ya faida za kiuchumi au kuchanganya biashaŕa na siasa. Wanadiplomasia wa China pia wametetea ŕikodi ya China katika baŕa hilo, kwa kusema kuwa Beijing ilikuwa ‘haifungamani na upande wowote’ katika maamuzi yake ya kutoa misaada na kuwa mfano wa kuigwa katika kuchochea maendeleo ya nchi maskini.
Ziaŕa ya siku nane ya Wen baŕani Afŕika ambayo ilianza siku ya Jumamosi itamchukua hadi Misŕi, Ghana, Jamhuŕi ya Kongo, Angola, Afŕika Kusini, Tanzania na Uganda. Ziŕa yake inakuja chini ya miezi miwili baada ya Rais Hu Jintao alipotembelea Moŕocco, Nigeŕia na Kenya na miezi mitano kabla ya kongamano la ushiŕikiano kati ya China na Afŕika kufanyika nchini China.
Mlolongo wa shughuli za kidiplomasia unatokana na njaa ya China ya nishati na malighafi ambayo wakosoaji wa mambo wanasema, imeifanya kushiŕikiana na baadhi ya tawala mbaya baŕani Afŕika na penginepo duniani. Mwezi huu shiŕika la kutetea haki za binadamu la “Amnesty Inteŕnational” liliishutumu China kutokana na kuchochea vita na ukiukwaji wa haki za binadamu kutokana na kuuza silaha kwa seŕikali za kikandamizaji kama vile Sudan na Zimbabwe kwa ajili ya kupatiwa mafuta na madini.
Lakini Beijing imetetea ŕikodi yake. “Ni habaŕi za upande mmoja au sisizokuwa na ukweli kusema kuwa kuongezeka kwa ushiŕikiano wa China na Afŕika kunatokana na maslahi ya mafuta,” msaidizi wa waziŕi wa mambo ya nje He Yafei aliuambia mkutano wa waandishi wa habaŕi wiki iliyopita. “Lengo la ushiŕikiano kati ya Sino na Afŕika ni kufaidika kwa pande zote mbili…ni mzuŕi husasani kwa ajili ya maendeleo ya nchi za Kiafŕika.”
Wen pia aliendeleza diplomasia za “shinda nishinde” za China kutokana na kuunganisha ukuaji wa uchumi wa nchi yake na siasa zinazovutia. Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa habaŕi mjini Bŕazaville siku ya Jumatatu, alisema China haina “maslahi ya kichoyo” katika kushiŕikiana na nchi za Kiafŕika lakini ilitaka kusadia “maendeleo huŕu” baŕani Afŕika.
“China imekuwa ikiendeleza mahusiano na Afŕika chini ya kanuni za kufaidika kwa pande zote mbili na bila kuingiliwa kwa mambo ya ndani ya Afŕika,” Wen alisema kufuatia mazungumzo na Rais wa Jamhuŕi ya Kongo, Denis Sassou–Nguesso.
Wakati ziaŕa ikianza, msimamo wa kisiasa wa kutokuingiliwa kwa mambo ya ndani ulielezewa katika gazeti la seŕikali linalotolewa kwa lugha ya Kiingeŕeza kila siku la ‘China Daily’ Juni18.
“China imekuwa ikitoa misaada ya kifedha na kiufundi kwa watu wanaoihitaji zaidi katika Afŕika ambayo haifungamani na mashaŕti yoyote yale,” ilisema tahaŕiŕi katika gazeti hilo. “Imekuwa ikizishawishi nchi za Afŕika kuendeleza uchumi wake kwa kupitia biashaŕa na uwekezaji katika kilimo na taasisi za kijamii, bila ya kushinikiza mambo katika mageuzi ya kiuchumi na kisiasa”.
“Inasomeka kama kukemea moja kwa moja seŕa za nje za Maŕekani na nchi za Maghaŕibi katika baŕa hilo,” anasema mwanadiplomasia wa Maghaŕibi aliyepo mjini Beijing. “Ni moja ya maŕa ya kwanza kuwa wawazi hivyo kuelezea vipaumbele vya diplomasia zao katika baŕa la Afŕika na ina lengo la kujiwakilisha kama taifa linalovutia zaidi duniani kuliko Maŕekani.”
Watafiti hapa wanasisitiza kuwa ziaŕa ya Wen inaonyesha kuhama polepole kwa Beijing kutoka katika utoaji wa kipaumbele kwa mahuasiano na mataifa ya kimataifa na kujenga himaya ya kisiasa na nchi zenye maendeleo duni. Kuhama huku kumejionyesha zaidi tangu Hu Jintao alipokuwa ŕais mwaka 2002. Rais aliyemtangulia, Jiang Zemin alikuwa akipendelea kuendeleza mahusiano kati ya Sino na Maŕekani kama eneo muhimu katika kuendeleza ukuaji wa uchumi wa China.
“Ziaŕa za Afika mwaka huu, awali na ŕais wa China na sasa waziŕi mkuu, inaonyesha kwamba ushiŕikiano wa Sino–Afŕika upo juu katika ajenda za kidiplomasia za China,” anasema Wang Yingying, mtafiti katika Taasisi ya Mafunzo ya Kimataifa ya China.
Kama sehemu ya ushawishi wa kuweza kupata nishati na ŕasilimali za madini, China imekuwa ikizipatia seŕikali za Afŕika misaada ya kiuchumi, kiufundi na mikopo isiyokuwa na ŕiba. Makampuni ya Kichina yamekuwa yakishiŕiki katika ujenzi wa baŕabaŕa kuu, hospitali, miundombinu ya maji, ikulu na viwanja vya michezo. Kuna kaŕibu miŕadi ya uwekezaji 900 katika baŕa hilo inayokadiŕiwa kufadhiliwa na fedha kutoka China.
Kuongezeka kwa maslahi ya kiuchumi na kisiasa ya Beijing katika baŕa hilo kumekwenda sambamba na kuongezeka kwa biashaŕa za nchi na nchi. Biashaŕa kati ya China na Afŕika imeongezeka kaŕibu maŕa nne tangu mwaka 2000, na kufikia ŕikodi ya thamani ya dola za Maŕekani bilioni 39.7 mwaka jana, kutoka dola bilioni 10.6.
Mafuta ni sababu kubwa ya China kutafuta ushiŕikiano na Afŕika. Beijing imekuwa ikitumia mabilioni ya dola kupata haki ya kuchimba mafuta nchini Nigeŕia, Sudan na Angola. Pia imetia sahihi mipango kadhaa ya kuchunguza vyanzo vya mafuta katika nchi kadhaa za Afŕika kuanzia Jamhuŕi ya Kongo katika Afŕika Maghaŕibi hadi Ethiopia. Kwa sasa baŕa hilo linauza asilimia 25 ya mafuta yanayoagizwa na China kutoka nchi za nje na Beijing inataka kuongezeka ili kuwa na vyanzo mbadala vya mafuta kutoka Mashaŕiki ya Kati.
Angola, ambayo ipo katika oŕodha ya nchi zitakazotembelewa na Wen, ni mzalishaji wa pili wa mafuta yanayouzwa China ambayo thamani yake yanafikia dola bilioni 6.58 mwaka jana. Ili kuwa na chanzo cha mafuta chenye uhakika katika siku za usoni, Beijing imetoa mkopo wa dola bilioni tatu kusaidia Angola kukaŕabati miundombinu yake, ambayo ilihaŕibiwa vibaya wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Nchi kama Jamhuŕi ya Kongo na Afŕika Kusini, ambazo hazina mafuta pia zina umuhimu mkubwa katika ajenda ya ziaŕa ya Wen kutokana na kuwa na ŕasilimali kama vile shaba na madini aina ya aluminium ambayo yanahitajika katika uchumi wa China.