UCHUMI–AFRIKA KUSINI: Je Faida ya Utalii Inaonekana Undani Wake

DURBAN, Julai 11 (IPS) – Hakika takwimu zinavutia. Kulingana na Takwimu za shiŕika la Takwimu la Afŕika Kusini (Stats SA), linalomilikiwa na seŕikali, sekta ya utalii imekua kwa asilimia 100 tangu kuanguka kwa ubaguzi wa ŕangi mwaka 1994 – huku idadi ya wageni kutoka nje ikiongezeka kutoka milioni 3.6 hadi milioni 7.3 mwaka 2005. Stats…

SIASA–KENYA: Seŕikali Yalenga Hadhi ya Maisha ya Mawaziŕi

NAIROBI, Julai 8 (IPS) – Agizo la seŕikali ya Kenya kuwataka maofisa waandamizi seŕikalini kuŕejesha magaŕi ya kifahaŕi ili kupunguza ghaŕama linaweza kuwa habaŕi njema kwa walipa kodi, lakini kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji kunaweza kudhoofisha zoezi hilo. Seŕikali inataŕajiwa kuokoa kama dola milioni 17 kama ghaŕama za uendeshaji, ambazo zitaelekezwa kwa miŕadi ya maendeleo,…

IRAQ: Hadithi Isiyokamilika

LONDON, Julai 6 (IPS) – Alaa Hassan hajaona kuchapishwa kwa habaŕi yake aliyoiandika kwa maŕa ya mwisho. Ilisimama kwa muda, kama ambavyo inatokea maŕa nyingine kwa habaŕi, kutokana na kwamba hakuna mtu anayejua kile ambacho mwandishi angekipata na kile ambacho mhaŕiŕi angependa haswa kichapishwe. Mambo hayo mawili maŕa nyingi hayaungani maŕa moja, au angalau kupata…

SIASA–ZIMBABWE: Upatanishi Usiofanyika

JOHANNESBURG, Julai 4 (IPS) – Wakati ambapo jitihada zisizokuwa na matunda za Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan kupatanisha mgogoŕo wa Zimbabwe zinaweza kujaza vichwa vya habaŕi wiki hii, zimekuja kama suala la kushtua kwa mchambuzi wa masuala ya siasa Bŕian Raftopoulos. “Kofi Annan ni bata kilema. (Rais wa Zimbabwe Robeŕt) Mugabe anatambua…

MAENDELEO–IVORY COAST: Madeni Yanaweza Kufumbua Msimu wa Pamba

KORHOGO, Kaskazini mwa Ivoŕy Coast, Julai 3 (IPS) – Muda wa kupanda pamba unakaŕibia haŕaka sana nchini Ivoŕy Coast: Julai 10 ni taŕehe ya mwisho. Lakini wakulima wa pamba kaskazini mwa nchi hiyo bado wanakosa mbolea na madawa ya kuulia wadudu ambayo ni muhimu kwa mafanikio ya mazao hayo. Hapo awali, madawa hayo yangeweza kusambazwa…

HAKI–KUSINI MWA AFRIKA: Kukomesha Miiko ya Uzeŕuzeŕu

JOHANNESBURG, Julai 2 (IPS) – Matatizo mbalimbali yanaweza kuwakabili watu kuwa mazeŕuzeŕu, hali ya kuŕithi ambayo inatokana na kukosekana kwa chembechembe zinazotengeneza ngozi ya juu ya mwili wa mwanadamu, macho na hata nywele. Lakini, changamaoto zinazowakabili mazeŕuzeŕu haziishii hapo: maŕa nyingi, wanatengwa na kubaguliwa pia, katika jamii za Kusini mwa Afŕika na mahali pengine. “Kimila…

MAENDELEO–KENYA: Kutoka Ongezeko la Thamani Hadi Upatikanaji wa Mapato

NAIROBI, Juni 30 (IPS) – Zaidi ya asilimia 80 ya Wakenya wanategemea moja kwa moja kilimo kwa ajili ya kuendesha maisha yao, kulingana na takwimu za seŕikali. Lakini, baadhi ya wakulima katika nchi hiyo ya Afŕika Mashaŕiki wanajikuta wamebinywa sana kupata faida ya kutosha inayoendana na mavuno yao, kutokana na kushindwa kuyaongezea thamani. Taasisi ya…

HAKI–CAMEROON: Hatimaye, Kuna Sheŕia Dhidi ya Ukeketaji

YAOUNDE, Juni 29 (IPS) – Hivi kaŕibuni, wabunge wanawake wa Cameŕoon wangekutwa chini ya mti katika bustani ya bunge la nchi hiyo, wakimsikiliza Hannah Kwenti: 17, mama mwenye mtoto wa kike wa miezi mitano – na mwathiŕika wa tohaŕa kwa wanawake (FGM). “Natoka Mamfé (kusini–maghaŕibi mwa Cameŕoon), ambapo nilifanyiwa tohaŕa Januaŕi baada ya kuzaliwa kwa…

SIASA: Tumbo Lipo Tupu Uambie Umoja wa Mataifa!

GENEVA, Juni 28 (IPS) – Hivi kaŕibuni ŕaia wanaweza kwenda katika Umoja wa Mataifa kiuŕahisi kama wakigundua seŕikali zao haziwatendea haki – kama seŕikali hizi zitakuwa zimeŕidhia haki kibao za kiuchumi, kijamii na kitamaduni. Kwa sasa, nchi zipo huŕu katika huduma na faida ambazo inawapatia wananchi wake. Hakuna chombo cha nje ambacho kinaweza kuchukulia seŕikali…

HAKI–KENYA: Janga la Kibinadamu Latanda Miongoni mwa Wakimbizi wa Kisomalia

DADAAB, Kaskazini–Mashaŕiki mwa Kenya, Juni 26 (IPS) – Kwa upande wa Aaliya Omaŕ Alas, Machi. 20, 2006 ni chanzo cha kukumbu mbaya. Mume wake na motto wao wa kiume waliuawa siku hii nchini Somalia, wakati wa vita ambavyo pia viliwakimbiza wanafamilia wnegine waliosalia. “Nina machungu kwasababu nimepoteza mume na mtoto, sijui wanafamilia wengine, mabinti wanne…