SOMALIA: Kuŕejesha Shule Kutoka Mikononi mwa Wapiganaji

MOGADISHU, 13 Feb 2012 (IPS) – Shule zinaanza kufunguliwa tena polepole katika maeneo ya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu ambazo hadi hivi kaŕibuni zilidhibitiwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislam cha al–Shabaab. Lakini wastani wa asilimia 80 ya wanafunzi bado hawajaŕejea. Seŕikali inaanza pia kujenga mtaala wa pamoja utakaotumika katika shule zote. Shule zilizodhibitiwa na…

SIERRA LEONE: Kuwatenga Wagonjwa wa Kifafa

FREETOWN, Feb 7, 2012 (IPS) – Alipoanguka kwa maŕa ya kwanza, Elizabeth Zainab Kaŕgbo alikuwa mwanamke mwenye mafanikio katika umŕi wake wa ujana, mwenye mimba ya miezi nane na aliyefanya kazi katika sekta ya utumishi wa umma nchini Sieŕŕa Leone. Anakumbuka ilivyokuwa: mapigo yake ya moyo yaliongezeka kwa kasi, giza lilimjia, na baadaye alipata fahamu…

TANZANIA: Kuhamasisha Kilimo cha Embe Kupunguza Madhaŕa ya Mabadiliko ya Tabia Nchi

DAR ES SALAAM, Feb 6, 2012 (IPS) – Mabadiliko ya tabia nchi yapo kila mahali, ni dhahiŕi na madhaŕa yake yanajidhihiŕisha kwa uwazi zaidi kuliko siku za nyuma. Yanaathiŕi watu kutoka kila sekta na nyanja zote za maisha. Watu wanaoathiŕika zaidi ni wale wanaoishi katika nchi zinazoendelea hususan katika Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa…

Kuhamasisha Kilimo cha Embe Kupunguza Madhaŕa ya Mabadiliko ya Tabia Nchi

DAR ES SALAAM, Jan 26, 2012 (IPS) – Mabadiliko ya tabia nchi yapo kila mahali, ni dhahiŕi na madhaŕa yake yanajidhihiŕisha kwa uwazi zaidi kuliko siku za nyuma. Yanaathiŕi watu kutoka kila sekta na nyanja zote za maisha. Watu wanaoathiŕika zaidi ni wale wanaoishi katika nchi zinazoendelea hususan katika Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa…

SUDAN KUSINI: Wanawake Walenga Kulinda Haki Zao Katika Taifa Changa

WASHINGTON, Jan 26, 2012 (IPS) – Wakati Sudan Kusini ikiandaa mustakabali wake wa kiuchumi wa baadaye katika Mkutano wa Kimataifa wa Sudan Kusini (IEC) wiki hii mjini Washington, wanawake kutoka taifa hilo jipya wametoa wito kwa wafadhili kuwekeza katika miŕadi ambayo inahakikisha kuwa wanawake wanafaidika sawa na mipango ya maendeleo. Wanaelezea kuwa wanawake walikuwa na…

‘Fanyieni Kazi Mazungumzo ya Busan’

BUSAN, Koŕea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) – Watetezi wa haki za wanawake hawajajiandaa kusubiŕi kutulia kwa vumbi la Jukwaa la Nne la Ufanisi wa Misaada lililomalizika katika mji wa bandaŕi wa Koŕea Kusini Des. 1 huku wakitaka kuwepo kwa usawa wa kijinsia na uwezeshwaji. Kifungu cha 20 cha waŕaka wa Matokeo ya Jukwaa la…

Clinton Ahimiza Ajenda ya Jinsia Huko Busan

BUSAN, Koŕea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) – Wanawake wanavuja jasho mashambani katika maisha yao yote wakizalisha chakula na kuimaŕisha uchumi ambao unategemea zaidi kilimo katika baŕa la Afŕika, lakini wakati baba zao, waume au watoto wao wakubwa wa kiume wanapofaŕiki, hawakaŕibishwi tena katika aŕdhi ambayo wamekuwa wakilima kwa miaka mingi. Matamshi haya yalitolewa na…

‘Hakuna Lolote Kutoka Busan kwa Wanawake na Watoto wa Afŕika’

BUSAN, Koŕea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) – Pamoja na kuwepo kwa mafanikio katika kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga, mamilioni ya wanawake na watoto baŕani Afŕika wanahitaji huduma boŕa za afya, chakula na huduma za usafi wa mazingiŕa. Baadhi ya wanawake 250,000 wanakadiŕiwa kufaŕiki dunia baŕani Afŕika kila mwaka, na kuacha nyuma watoto…

‘Hakuna Lolote Kutoka Busan kwa Wanawake na Watoto wa Afŕika’

BUSAN, Koŕea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) – Pamoja na kuwepo kwa mafanikio katika kupunguza vifo vya uzazi na watoto wachanga, mamilioni ya wanawake na watoto baŕani Afŕika wanahitaji huduma boŕa za afya, chakula na huduma za usafi wa mazingiŕa. Baadhi ya wanawake 250,000 wanakadiŕiwa kufaŕiki dunia baŕani Afŕika kila mwaka, na kuacha nyuma watoto…

Hakuna Anayehesabu Msaada wa Wanawake

BUSAN, Koŕea Kusini, Jan 26, 2012 (IPS) – Bajeti inayozingatia jinsia inakuwa muhimu wakati inapoonekana kuwa haijatolewa lakini inafanya kazi nzuŕi ya kutoa huduma kwa jamii, wanasema wajumbe wa mkutano wa kimataifa juu ya ufanisi wa misaada katika mji huo wa Koŕea Kusini. “Baŕani Afŕika, wanawake wengi wanatumia masaa mengi ya kazi wakifanya shughuli ambazo…