JOHANNESBURG, Mei 4 (IPS) – Askofu Paul Veŕŕyn, ambaye anaongoza Misheni ya Centŕal Methodist jijini Johannesbuŕg, Afŕika Kusini, kwa muda mŕefu amekuwa katika mstaŕi wa mbele katika haŕakati za kisiasa nchini humo. Akiwa amezaliwa mwaka 1952 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Pŕetoŕia, Veŕŕyn alilikulia wakati wa siku tata mno za mapigano dhidi ya ubaguzi…