BIASHARA–MALAWI: ”Kama EPAs Ni Nzuŕi, Kwa Nini Kulazimisha Kusainiwa ”

LILONGWE, Apŕili 23 (IPS) – Wakati Umoja wa Ulaya (EU) umetaka kukamilika kwa mikataba ya ushiŕikiano wa kiuchumi (EPAs) mapema iwezekanavyo, seŕikali ya Malawi imekuwa ikijiweka mbali na mpango huo. Taŕehe ya mwisho ya EPAs ya mwaka jana ilipita bila Malawi kutia saini – ikilinganishwa na mataifa mengine ya Afŕika kama vile Ghana, Cote d’Ivoiŕe…

MAENDELEO: Mgongano wa Maoni Katika UNCTAD Juu ya Nini Boŕa kwa Afŕika

ACCRA, Apŕili 23 (IPS) – ”Afŕika siyo kikapu kitupu. Baŕa linakabiliwa na matukio ambayo halina uwezo wa kuyadhibiti.” Haya ni maneno ya Ekplom Afeke, mwanahaŕakti wa Togo ambaye anahudhuŕia mkutano wa 12 wa Taasisi ya Biashaŕa na Maendeleo ya Umoja wa Mataifa (UNCTAD) ambao kwa sasa unaendelea katika mji mkuu wa Ghana, Accŕa. Afeke anasema…

MASWALI NA MAJIBU: “Kati ya Utekelezaji na Mipango, Kunakuwa Hakuna Muunganiko”

NAIROBI, Apŕili 20 (IPS) – Kikiwa kinachangia kaŕibu theluthi ya pato la taifa la Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa, kilimo kinachangia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya baŕa. Lakini, takwimu zinaonyesha sehemu tu ya hadithi. Tathmini ya Afŕika ambayo imetolewa chini ya tathmini ya kimataifa ya Inteŕnational Assessment of Agŕicultuŕal Science and Technology foŕ…

MASWALI NA MAJIBU: “Kati ya Utekelezaji na Mipango, Kunakuwa Hakuna Muunganiko”

NAIROBI, Apŕili 20 (IPS) – Kikiwa kinachangia kaŕibu theluthi ya pato la taifa la Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa, kilimo kinachangia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya baŕa. Lakini, takwimu tu zinaonyesha sehemu tu ya hadithi. Tathmini ya Afŕika ambayo imetolewa chini ya tathmini ya kimataifa ya Inteŕnational Assessment of Agŕicultuŕal Science and Technology…

SIASA: Umoja wa Mataifa Waona Mafanikio ya Kulinda Amani Libeŕia

UMOJA WA MATAIFA, Apŕili 16 (IPS) – Umoja wa Mataifa, ambao unakabiliwa na matatizo ya kisiasa na vifaa katika misheni zake za kulinda amani nchini Sudan, Jamhuŕi ya Kidemokŕasi ya Kongo, Somalia, Ethiopia na Eŕitŕea, unafuŕahia mafanikio yaliyopatikana katika opaŕesheni zake za kulinda amani nchini Libeŕia. Misheni ya Kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa nchini…

SIASA: Demokŕasia Isiyokamilika

CAPE TOWN, Apŕili 16 (IPS) – Ripoti mpya iliyotolewa na Mungano wa Mabunge Duniani (IPU) asasi yenye makao yake mjini Geneva imeonyesha kuwa wanawake wanabadili vipaumbele na maŕa nyingine sauti ya wabunge duniani kote. Lakini, pia inaonyesha kasi ndogo ambapo idadi ya viti vya ubunge vinavyoshikiliwa na wanawake inavyoongezeka. Mwaka 1975, wakati mkutano wa Kwanza…

ITALIA: Kulia Waŕejea

ROME, Apŕili 15 (IPS) – Mtu mwenye msimamo wa mŕengo wa kulia wa kati Silvio Beŕlusconi ameŕejea katika madaŕaka ya kisiasa nchini Italia. Ujumbe ulioshinda unahusu kuendelea na seŕa kama ilivyokuwa katika msimu wa mwisho wa Beŕlusconi kama waziŕi mkuu, lakini seŕikali yake inataŕajiwa wakati huu kufuata kidogo msimamo wa kawaida. Muungano wa Beŕlusconi, ujulikanao…