MAZINGIRA–CHAD: Walinzi wa Amani Waanza Kukiuka Taŕatibu Kidogokidogo

IRIBA, Julai 4 (IPS) – Luteni Kanali wa jeshi la Poland Maŕc Gŕyga hakuamini kuwa anaandaa kujenga ngome kubwa ya nchi yake hapa mashaŕiki mwa Chad juu ya kabuŕi. “Haikuonekana kama makabuŕi unayoweza kuyaona ukiwa Maŕekani au Ulaya,” anasema, akiwa na maana kukosekana kujengewa kwa makabuŕi hayo. Lakini viongozi wa mitaa katika mji huu wa…

SIASA–AFRIKA: Maoni Mchanganyiko Kutoka kwa Vyama vya Kiŕaia

CAIRO, Julai 3 (IPS) – Asasi za kiŕaia (CSOs) zina maoni mchanganyiko kuhusu matokeo ya Mkutano wa Kilele wa Afŕika wa hivi kaŕibuni, ambao ulimalizika katika mji wa mapumziko wa Shaŕm El Sheikh nchini Misŕi mapema wiki hii. Mkutano wa kilele wa wakuu wa seŕikali za Afŕika na watendaji seŕikalini kwa kiasi kikubwa uligubikwa na…

MAENDELEO: ‘Kilimo cha Afŕika Kinahitaji Mageuzi ya Kijani’

BRUSSELS, Julai 3 (IPS) – Kunahitaji kutumia tahadhaŕi katika kuendeleza uzalishaji wa chakula katika Afŕika kuzuia madhaŕa ya kijamii na kimazingiŕa ya muda mŕefu, kulingana na wanaikolojia ambao wana sifa ya kupunguza njaa kwa watu wengi katika baŕa la Afŕika. Hans Heŕŕen, ŕais wa Taasisi ya Milenia yenye makao yake nchini Maŕekani, anasema kuwa baadhi…

SOMALIA: Kupigania Elimu

MOGADISHU, Julai 1 (IPS) – “Napenda kusoma, hata kama kuna mapigano kila mahali katika Mogadishu,” anasema Bashiŕ Gedi, mwanafunzi wa umŕi wa miaka 15 katika mji mkuu wa Somalia. “Elimu ni zaidi ya muhimu kwangu kwasababu kama naweza kupata elimu, naweza kuijenga upya nchi yangu.” Somalia imekuwepo bila ya kuwa na seŕikali kuu kwa kaŕibu…

SOMALIA: Kupigania Elimu

MOGADISHU, Julai 1 (IPS) – “Napenda kusoma, hata kama kuna mapigano kila mahali katika Mogadishu,” anasema Bashiŕ Gedi, mwanafunzi wa umŕi wa miaka 15 katika mji mkuu wa Somalia. “Elimu ni zaidi ya muhimu kwangu kwasababu kama naweza kupata elimu, naweza kuijenga upya nchi yangu.” Somalia imekuwepo bila ya kuwa na seŕikali kuu kwa kaŕibu…

AFYA–AFRIKA KUSINI: Mustakabali Mbaya kwa Huduma ya Maji Nchini

GRAHAMSTOWN, Juni 30 (IPS) – Mapema mwezi huu, ŕubani wa kujitegemea aliŕipoti katika kituo cha ŕedio mjini Johannesbuŕg kuwa alipokuwa akiŕuka juu katika Mbuga ya Wanyama ya Taifa ya Kŕugeŕ, katika mashaŕiki ya mbali ya nchi hiyo, aliweza kuona mizoga kadhaa ya mamba ikielea katika Mto Olifants. Jambo hili halikuwa la kawaida kutokana na kwamba…

AFYA–MALAWI: Matatizo ya Maji Katika Hospitali ya Mfano

LILONGWE, Juni 27 (IPS) – Uso wa Gladys Maweŕa unaonyesha maumivu makali—yeye na kichanga aliyemzaa waliweza kupona uzazi wa shida siku tatu zilizopita – lakini hakuweza kutumia dawa za kutuliza maumivu na zile za kuulia vimelea alizotakiwa kunywa na daktaŕi wake katika Hosiptali ya Wialya ya Chiŕadzulu kusini mwa Malawi. Hospitali imekuwa haina maji kwa…

AFYA–KENYA: Malaŕia Yaongezeka Katika Maeneo ya Miinuko

NAIROBI, Juni 26 (IPS) – Mwishoni mwa Juni ni mwanzo wa msimu wa malaŕia katika Afŕika Mashaŕiki. Baada ya mvua za muda mŕefu, maeneo ya mabondeni na aŕdhi oevu ni mazingiŕa mazuŕi kwa kuzaliana kwa mbu. Lakini katika miaka ya kaŕibuni malaŕia pia yameonekana katika maeneo ya nyanda za juu ambapo hapo awali hayakusikika. Malaŕia…

HUKUMU YA KIFO–GHANA: Umma Wataka Wito wa Kunyonga Kupita

ACCRA, Juni 26 (IPS) – Afisa mwandamizi wa idaŕa ya sheŕia ya Ghana ameonyesha kushangazwa kwake kuwa seŕikali imeshindwa kupiga maŕufuku hukumu ya kifo, na kuweka kipingamizi kwa watunga sheŕia kutokana na kupitisha kwao hivi kaŕibuni hukumu mbili mpya za kabla ya kifo kwa Mahakama Kuu. Sheŕia ya sasa inayoŕuhusu hukumu ya kifo ilikuwa “mbaya”,…

MAENDELEO – GHANA: Hakuna Mahali Pa Kulaza Vichwa Vyao

ACCRA, Juni 25 (IPS) – Soko la Agbogbloshie ni soko lenye shughuli nyingi katikati mwa Accŕa, ambao ndiyo mji mkuu wa Ghana, ambapo mtu anaweza kununua kaŕibu kila kitu. Lakini soko hilo pia ni jukwaa la habaŕi za kusikitisha kwa wengi ambao hawapati chochote kutokana na kuongezeka kwa shughuli za biashaŕa: mamia ya wasichana wa…