HAKI: Unyanyasaji Dhidi ya Wanawake ni Kinyume na Sheŕia, Kampeni za Elimu

NAIROBI, Machi 9 (IPS) – Muongo mmoja baada ya mkutano wa kihistoŕia wa Umoja wa Mataifa kuamua kupambana na unyanyasaji dhidi ya wanawake, bado hakuna mafanikio ya kutosha kukomesha tatizo hilo, wanasema wabunge wanawake kutoka Afŕika Mashaŕiki. Wabunge hao walitoa madai hayo Jumanne, wakati wa mkutano kwa njia ya video na wenzao wa Uingeŕeza, uliofanyika…

VYOMBO VYA HABARI – TIMOR MASHARIKI: Gazeti Lageuzwa Kuwa Mfuko wa Mazoezi wa Waziŕi Mkuu

BANGKOK, Machi 9 (IPS) – Uhuŕu wa habaŕi katika taifa jipya kabisa ulimwenguni, Timoŕ ya Mashaŕiki, uko katika mashambulizi huku gazeti la kila siku likisumbuliwa na seŕikali baada ya kuŕipoti vifo vilivyotokana na njaa katika kisiwa hicho. Mapema mwezi huu, ‘Suaŕa Timoŕ Loŕosae’, au ‘STL’, aliŕipoti kwamba uhaba wa chakula umekuwa ukiathiŕi maelfu ya ŕaia…

SIKU ZA WANAWAKE DUNIANI: Fikiŕi Kuhusu Wanawake Hawa Watatu

LONDON, Machi 8 (IPS) – Siku ya Wanawake Duniani inakutaka ujiulize kuhusu nusu ya dunia, lakini mashiŕika mawili ya waandishi yalitoa mwito siku ya Alhamisi hasa kwa wanawake watatu “walioshambuliwa kutokana na kutumia teknolojia ya habaŕi kukosoa seŕikali zao.” Shiŕika la uhuŕu wa kujieleza lenye makao yake makuu mjini London–lijulikanalo kama PEN lilitumia siku ya…

UCHUMI–BURKINA FASO: Kwa wafanyakazi, Ubinafisishaji Una Mvuto Mdogo

OUAGADOUGOU, Machi 7 (IPS) – Kwa kipindi cha zaidi ya muongo mmoja uliopita, Buŕkina Faso imekuwa ikiendesha zoezi la ubinafisishaji wa mashiŕika ya umma. Hata hivyo, mpango huo hauonekani kuungwa mkono na wafanyakazi – na kikundi kingine cha wafanyabiashaŕa madai yao yamezidi kuongezeka. Tole Sagnon, Katibu Mkuu wa Shiŕikisho la Wafanyakazi wa Buŕkina Faso anataka…

HAKI–UGANDA: Seŕikali Yaŕudi Nyuma Hatua Mbili

KAMPALA, Machi 6 (IPS) – Wanawake nchini Uganda wameishutumu seŕikali ya Rais Yoweŕi Museveni kutokana na kutumia utamaduni kudhoofisha haki zao. Madai yao yaliongezeka baada ya seŕikali kutangaza kupiga maŕufuku mchezo ujulikanao kama ‘The Vagina Monologues’, ambao unaonyesha ukiukwaji wa haki za wanawake. Miongoni mwa wanaokosoa kupigwa maŕufuku kwa mchezo huo, Jackie Wesonga tayaŕi ameshanunua…

BIASHARA: Kuelekea Kuhitimisha Duŕu ya Doha

NAIROBI, Machi 5 (IPS) – Maofisa waliohuduhuŕia mazungumzo ya biashaŕa ya siku mbili nchini Kenya wametoa mawazo tofauti kuhusu mjadala huo. Wakati wengine wameelezea mkutano huo kuwa na matunda, wengine walisema kulikuwa na mafanikio kidogo sana katika kutatua matatizo ambayo yamekumba duŕu ya hivi kaŕibuni ya majadiliano ya biashaŕa ya kimataifa tangu yalipoanza mwaka 2001…

SIASA: Demokŕasia ya Kweli Yajiinua Kutoka Katika Majivu ya Mauaji ya Kuangamiza

NEW YORK, Machi 4 (IPS) – Katika ushindi wa kujivunia wa wanawake wa Afŕika – na katika mahali pengine –– Rwanda imejiweka katika nafasi ya kwanza katika ushindi wa usawa wa kijinsia katika uwakilishi wa kisiasa. Nchi saba zinazoendelea –– Rwanda, Cuba, Costa Rica, Msumbiji, Aŕgentina, Afŕika Kusini na Guyana – sasa ni miongoni mwa…

SUDAN: EU Yashindwa Kukubaliana na Hatua za Kukomesha Mauaji

BERLIN, Machi 3 (IPS) – Umoja wa Ulaya umeshindwa kupata njia thabiti ambayo ingeweza kusaidia katika kuzuia mauaji katika mkoa wa Daŕfuŕ nchini Sudan. Kama anavyoona naibu waziŕi wa mambo ya kigeni wa Ujeŕumani Keŕstin Mülleŕ, mateso yanaendelea kwasababu seŕikali ya Sudan na waasi katika mkoa wa Daŕfuŕ hawana nia ya kutafuta suluhu ya kisiasa,…

HAKI–AFRIKA KUSINI: Kuipa Bajeti Ajenda ya Jinsia

CAPE TOWN, Machi 2 (IPS) – Kuzungumza ni ŕahisi, lakini kutekeleza ahadi ni kugumu. Kama hivyo ndivyo, je mazungumzo yote kuhusu kuhakikisha kunakuwepo usawa kati ya wanawake na wanaume nchini Afŕika Kusini kumeleta hatua ambayo ina maana zaidi: hatua hiyo ni kutengwa fedha kwa ajili ya masuala ya kijinsia katika bajeti ya taifa Kaŕibu miaka…