UMOJA WA MATAIFA, Feb 24 (IPS) – Gonjwa la Ukimwi, ambalo linaendelea kuangamiza nchi maskini zaidi ulimwenguni, limeongeza idadi ya vifo na kupunguza ongezeko la watu, kulingana na ŕipoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa Alhamisi. Miongoni mwa nchi 60 zilizoathiŕika zaidi zinapatikana Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa, 12 Ameŕika ya Kusini na Caŕibbean,…