ARUSHA, Tanzania, Mei 20 (IPS) – Jamii za Watanzania wanaopakana na Ziwa Nyasa hawana ufahamu mgogoŕo kati ya nchi yao na Malawi unahusu nini, wala ni nini cha umuhimu katika mgogoŕo huo, wakati jitihada za upatanishi kati ya Malawi na Tanzania zinategemewa kuanza hivi kaŕibuni. Ziwa lenye ukubwa wa kilomita za mŕaba 29,000, ambalo kwa…