Kipindi mwema cha kilimo katika Benin, lakini haikuwa rahisi

Théophile Houssou, mkulima wa mahindi kutoka Cotonou, amekosa siku usingizi siku ningi akilala macho akihangaikia juu ya majanga mbalimbali ambayo yanaweza msiba mkulima yoyote, mara nyingi wanashangaa, “nini itafanyika kama ikinyesha sana na mazao yangu zote zioshwe mbali?” au “nini itafanyika kama minyo wakivamia shamba yangu na kukula mimmei yote nisiwachwe na chochote?”

Biashara ya Kilimo ni Tatizo, Sio Suluhisho

Kwa karne mbili, majadiliano mengi juu ya ukosefu wa chakula na rasilimali imeedelea juu ya Parson Thomas Malthus. Malthus alionya kuwa idadi ya watu wakiongezeka watamaliza haya rasilimali, hasa yale yanayotakiwa kwa ajili ya uzalishaji wa chakula. Ukuaji wa idadi ya watu utaondoa pato la chakula.

Uhandisi cha Kinyume ya SDG’s

Wakati vijana kutoka miji midogo na vijiji wakitafuta elimu ya juu wanapaswa kuhamia miji mikubwa na kuacha jamii zao nyuma. Baada ya kukamilisha shahada yao kutoka Vyuo vikuu, kwa ujumla wanapendelea kukaa katika miji, kutafuta kazi nzuri. Ingawa hii ni mazoezi ya kawaida, pia ni kesi ya fursa zilizopotea, hasa kwa wanafunzi ambao wanafuatilia elimu…

Mifumo ya chakula endelevu; Kwa nini hatuhitaji Maelekeo mapya

Wengi wanaamini kwamba sekta ya chakula na kilimo ni tofauti na sekta nyingine zote za kiuchumi, kwamba ni ya kipekee, na kwamba inahitaji mifano maalum ya kiuchumi ili kustawi. Baada ya yote, tunatarajia mfumo cha kimataifa wa chakula na kilimo kuitikia malengo mengi tofauti. Inahitaji kutoa chakula, salama, na lishe. Inahitaji kujenga ajira katika maeneo…