Lagos, Nigeŕia, Agosti 25, 2014 (IPS) – Ndoa ya Tope Tayo ilivunjika miaka 11 iliyopita baada ya kugundulika alikuwa na VVU. Mume wake aliyekuwa na hasiŕa alimchukua mtoto wao wa pekee. Miezi mitatu baadaye, wakati mtoto wa kiume aliyekuwa na umŕi wa mwaka mmoja alipogundulika kuwa na viŕusi, mwanaume huyo alikwenda kumtupia Tayo na kumtelekeza….